Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hahahaha hamna mkuu nililalaHa ha Mkuu almanusura MK 14 apige Hat-Trick wangeisoma namba
Mkuu oscarsolomon ulikuwa unatadadavua kwenye Live Tv huko mpaka umechelewa hapa..SimbaNguvuMoja
Ila leo wale mashushushu siwaoni sijui wanaona aibu?