Tanzania Premier League 'TPL' Mwadui FC Vs Yanga SC, Uwanja wa Kambarage, Shinyanga

japo kindoki amezingua lakini Yanga wanazingua jinsi wanavyocheza Kama mgeni akiangalia hii mechi na azijui timu atajua Mwadui ndio Yanga jinsi walivyotulia na kujiamini.
 
Du hivi kumbe Bado kuna watu wanafuatilia ligi ya hawa vichwa vya wendawazimu!
 
huyu kindoki atolewe aingie kabwili/benno atatuuua kwa pressure
 
hili huko sahihi mkuu, ila benno/Yondani kuacha kucheza kisa hela ni upuuzi

wacheze huku wakiendelea dai pesa zao, wanatukosea sana.
Ungekuwa wewe ungeweza Miezi mitano hujalipwa? Tuache kutetea upuuzi. Yanga tumefika hapa tulipo kutokana na upuuzi wetu.
 
Kuna haja ya kusajili watu wa maana katika dirisha dogo! Kuwategemea kina kindoki, ninja, makambo nk nikujidanganya! All the best chama langu
 
Ungekuwa wewe ungeweza Miezi mitano hujalipwa? Tuache kutetea upuuzi. Yanga tumefika hapa tulipo kutokana na upuuzi wetu.
mkuu nashindwa vp kama wastaafu now wanasubiri 1yrs mafao iwe miezi mi 5 aya sasa unagoma je ndo umepata huo mshahara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…