yanga 2-1mwadui, huu utabiri wako ulifanya wa-tz wengi kufa kwenye vita vya majimajiMwad 2:1 yanga
Hapana, hivi wewe ukiwa unafanya kazi afu ujalipwa miezi minne utaendelea kufanya kazi tena. Afu wakt huo huo wengine wanahitaji Huduma yakohili huko sahihi mkuu, ila benno/Yondani kuacha kucheza kisa hela ni upuuzi
wacheze huku wakiendelea dai pesa zao, wanatukosea sana.
kama kutoacha kufanya kazi haileti maana naendelea tu. sasa utapata nini ukisikia wafanyakazi wengine wameendelea na kazi na wamefanikisha zoeziHapana, hivi wewe ukiwa unafanya kazi afu ujalipwa miezi minne utaendelea kufanya kazi tena. Afu wakt huo huo wengine wanahitaji Huduma yako
Kwa anaejitabua haki yako ya muhimu zaidi kuliko kuangalia wengine. Ni bora uache kazi ili kulinda haki yako.kama kutoacha kufanya kazi haileti maana naendelea tu. sasa utapata nini ukisikia wafanyakazi wengine wameendelea na kazi na wamefanikisha zoezi
Endelea kuleta update mkuu55' Ngasaaaaaaa goooaal.. Ni Mrisho Ngasa anaipatia Yanga bao la pili baada kuitoka ngome ya Mwadui FC
Mwadui FC 1-2 Yanga SC
Washindwe waendelee kukosaCharles Ilanfya anakosa bao baada ya mpira kugonga mwamba..ilikuwa hatari lango la Yanga.
Tena wasijaribuWashindwe waendelee kukosa
waendelee kupigania haki, wakipewa mishahara wataungana na wenzao ambao watakua wamesha ifikisha yanga kileleniKwa anaejitabua haki yako ya muhimu zaidi kuliko kuangalia wengine. Ni bora uache kazi ili kulinda haki yako.
Labda ka unaenda tu hujui haki yako ya msingi
Hongera Sana Mkuu ,hata mie niliye mbali huku ,umenifanya nifuatilie matangazo [ update] za mpira huu ushukuriwe sana MkuuWakati wowote mpira utamalizika uwanja wa CCM Kambarage
45' Naaaaaaaam mpira umekwisha ambapo Yanga wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya Mwadui FC
Mwadui FC 1-2 Yanga FC
Timu ya JF tumekuletea Mtanange huu
Asanteni....Ghazwat
baada ya kushinda ugenini wimbo utabadirika watakwambia haishindi kwa waarabuIle mimbumbumbu iliyokuwa inasema Yanga haishindi ugenini siioni
Iko kutafuta kauli mbiu nyingine, maana ya ugenini imezimwa leo labda watakuja na la ukata, kauli mbiu yao ya ligi iko mwanzo nayo ilizimwa kitamboIle mimbumbumbu iliyokuwa inasema Yanga haishindi ugenini siioni
Arudi aliko toka hafaiila kindoki aliye mleta afanye juhudi amrudishe alipo mtoa