Kesho zamu yaoIle mimbumbumbu iliyokuwa inasema Yanga haishindi ugenini siioni
Claus Kindoki eti nae ni professional
huyu bwana akiachwa kikosini kuna siku atagharimu uhai wa raia flani (nikiwemo mimi)Arudi aliko toka hafai
Ni mdudu hatari akae mbari na wana yangahuyu bwana akiachwa kikosini kuna siku atagharimu uhai wa raia flani (nikiwemo mimi)
Kindoki akifungwa, kama ai sare, Yanga inashinda mechi teh teh teh.Hongera chama langu ila kindoki hiiiiii niishie tuu hapo
ila kindoki aliye mleta afanye juhudi amrudishe alipo mtoa
Arudi aliko toka hafai
Claus Kindoki eti nae ni professional
Hata kwenye ndondo simpangi yule
huyu bwana akiachwa kikosini kuna siku atagharimu uhai wa raia flani (nikiwemo mimi)
Hahahaha, hizi comments zimenifurahisha SanaNi mdudu hatari akae mbari na wana yanga
Na kombe tutalichukua hivi hivi kwa kustruggleYanga we are struggling....
Na kombe tutalichukua hivi hivi kwa kustruggle
Mungu husikia maombi ya wenye haki.....ukata, mara waseme tff inaipendelea lkn tunasonga mbele muhimu ni point 3[emoji847][emoji847][emoji847]Yaaah..kikubwa tukiona game imetushinda tusikubali kupoteza,naona kabisa msimu huu tunakua unbeaten
Kuna wa matopeni mmoja hapa anatia hurumaKindoki akifungwa, kama ai sare, Yanga inashinda mechi teh teh teh.
Marundiano na Matopeni, lazima acheze yeye au Kabwili. Beno kaanza jeuri
Mkuu, sina shida na hilo. Endeleeni tu kufungua thread mechi za Yanga. Nchi huru hii.Ulitakaje sasa?
Nakuunga mkono! Jamaa ni mtupu kabisa, viongozi watafute kipa mzawa wakusaidiana na Benoila kindoki aliye mleta afanye juhudi amrudishe alipo mtoa
Kabwili yupo, anaweza apewe nafasiNakuunga mkono! Jamaa ni mtupu kabisa, viongozi watafute kipa mzawa wakusaidiana na Beno
Ndo maana nashangaa ilhali wala si mechi moja kuleta Updates kwa YangaMkuu, sina shida na hilo. Endeleeni tu kufungua thread mechi za Yanga. Nchi huru hii.
Wenye roho mbaya utawajua tu, sie tunashukuru kwa updatesNdo maana nashangaa ilhali wala si mechi moja kuleta Updates kwa Yanga
KMC na Yanga Oktoba 25, 2018 Nilileta, kwahivyo iwe Simba au Yanga nitaleta kulingana na nafasi na yeyote anaweza kuleta mkuu.
Ndo maana hata mwisho nasema timu ya JF tumeleta huu mchezo, (ushirikiano) hii ni burudani tu