Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kivumbi cha ligi kuu Tanzania (TPL) kuendelea tena leo Oktoba 28, 2018 kwa mechi nne kupigwa katika viwanja tofauti huku gumzo likiwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam saa 1:00 usiku ambapo Ruvu Shooting itapambana na Simba SC.
Kuelekea kwenye mchezo huo, mkuu wa habari wa klabu ya Simba amesema hawadharau timu yoyote ambayo ipo Premier League kwa hivyo wamejiandaa kuwakabili vilivyo kuweza kushinda mchezo huo na kupata alama tatu muhimu, kama mabingwa wa nchi.
Kabla ya mchezo wa leo klabu ya Simba, Wekundu wa Msimbazi ilitoa ovyo kali kwa timu zinazoshiriki ligi kuu kwa kuwasambaratisha Alliance FC kwa mabao 5-1, ambapo Ruvu Shooting wakiwacharaza Singida United 3-0 mchezo uliopita, huku msemaji wa Ruvu Shooting Masau Bwire akiwaambia Simba wajiandae kwa 'mpapaso Square'.
Aidha, kocha Hans Van Der Pluijm saa 10:00 jioni ataiongoza Azam FC dhidi ya timu yake ya zamani Singida United. Je nani kuondoka na alama tatu muhimu leo kwa timu zote? Usikose Ukaambiwa Kaa Nasiiii...!
••••••••======•••••••••••••
Vikosi vya mchezo wa leo Ruvu Shooting Vs Simba SC, tukianza na wenyeji ambao ni Ruvu Shooting;
Abdallah Rashid, Abdul Mpambika, Mau Bufu, Renatus Ambross, Temba Sued, Zuberi Dabi, Shaban Usala, Baraka Mtuwi, Said Dilunga, Fully Maganga, William Patrick.
Sub; Bidii Hussein, Yusuph Nguya, Hamis Kasanga, Chande Magoya, Adam Ibrahim, Khamis Mcha, Alinanuswe Martine.
Upande wa kikosi cha Simba SC katika mchezo wa leo;
Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein, Juuko Murshid, Pascal Wawa, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Cleoutus Chama, Meddie Kagere, John Bocco, Emmanuel Okwi.
Sub; Deogratias Munishi, Paul Bukaba, Hassan Dilunga, Said Ndemla, Mohamed Ibrahim, Adam Salamba, Abdul Suleiman.
Naaaaaam mpira umeanza uwanja wa Taifa
00' Ruvu Shooting 0-0 Simba SC
07' Goooooooooaaaal gooooooaaal
Emmanuel Okwi anaipatia Simba bao la KWANZA baada ya kupokea pasi safi ya Kapombe
Ruvu Shooting 0-1 Simba SC
14' Bocco anapiga shuti la chini, lakini golikipa anadaka bila wasiwasi
Ruvu anashambulia lango la Simba, lakini mashambulizi hayaleti matunda
23' Meddie Kagereeeeeee gooooooaal..MK 14 anaandika bao la PILI baada ya kupigwa Kona
37' Ruvu wanafanya jaribio la mbali kwa kupiga shuti..Lakini mpira unatoka nje
Ruvu Shooting 0-2 Simba SC
45+2' Kuelekea kumalizika kwa kipindi cha kwanza. Naaaaaam mpira ni mapumziko ambapo Simba wanatoka wakiwa mbele ya bao mbili dhidi ya Ruvu Shooting
Ruvu Shooting 0-2 Simba SC
Kipindi cha pili kimeanza..kwa kasi..Bocco anakosa bao dakika 46
Ruvu wanakwenda mbele. Lakini mabeki wa Simba wanakaa vizuri na kuzuia hatari zote.
53' Gooooooooooaaal Emmanuel Okwi anaipatia Simba bao la TATU kufuatia pasi ya Kapombee
Ruvu Shooting 0-3 Simba SC
77' Simba wanakwenda sasa kwake Kapombee Gooooooooooaaal, Emmanuel Okwi anaipatia Simba bao la NNE na kuhesabu Hat-Trick ya kwanza msimu huu
Ruvu Shooting 0-4 Simba SC
84' Adam Salamba anachukua nafasi ya Emmanuel Okwi aliyepata rabsha
Ruvu wanashindwa kutengeneza mashambulizi na kutoa nafasi kwa Simba dakika hizi za lala salama.
89' Dilunga anakwenda kwake Adam..Gooooooooooaaal Gooooooooooaaal..Adam Salamba anaifungia Simba bao la TANO kwa shuti kali nje ya 18
Ruvu Shooting 0-5 Simba SC
90+3
Wakati wowote mpira utamalizika uwanja wa Taifa
Naaaaaaam mpira umekwisha ambapo Simba wanaibuka na ushindi mnono wa mabao matano bila majibu dhidi ya Ruvu Shooting
Mabao ya Emmanuel Okwi 3, Meddie Kagere 1, Adam Salamba 1 akihitimisha kalamu ya mabao
Tumekuletea mtanange huu ni timu mzima ya JF
Asante sana...
Ghazwat
Kuelekea kwenye mchezo huo, mkuu wa habari wa klabu ya Simba amesema hawadharau timu yoyote ambayo ipo Premier League kwa hivyo wamejiandaa kuwakabili vilivyo kuweza kushinda mchezo huo na kupata alama tatu muhimu, kama mabingwa wa nchi.
Kabla ya mchezo wa leo klabu ya Simba, Wekundu wa Msimbazi ilitoa ovyo kali kwa timu zinazoshiriki ligi kuu kwa kuwasambaratisha Alliance FC kwa mabao 5-1, ambapo Ruvu Shooting wakiwacharaza Singida United 3-0 mchezo uliopita, huku msemaji wa Ruvu Shooting Masau Bwire akiwaambia Simba wajiandae kwa 'mpapaso Square'.
Aidha, kocha Hans Van Der Pluijm saa 10:00 jioni ataiongoza Azam FC dhidi ya timu yake ya zamani Singida United. Je nani kuondoka na alama tatu muhimu leo kwa timu zote? Usikose Ukaambiwa Kaa Nasiiii...!
••••••••======•••••••••••••
Vikosi vya mchezo wa leo Ruvu Shooting Vs Simba SC, tukianza na wenyeji ambao ni Ruvu Shooting;
Abdallah Rashid, Abdul Mpambika, Mau Bufu, Renatus Ambross, Temba Sued, Zuberi Dabi, Shaban Usala, Baraka Mtuwi, Said Dilunga, Fully Maganga, William Patrick.
Sub; Bidii Hussein, Yusuph Nguya, Hamis Kasanga, Chande Magoya, Adam Ibrahim, Khamis Mcha, Alinanuswe Martine.
Upande wa kikosi cha Simba SC katika mchezo wa leo;
Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein, Juuko Murshid, Pascal Wawa, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Cleoutus Chama, Meddie Kagere, John Bocco, Emmanuel Okwi.
Sub; Deogratias Munishi, Paul Bukaba, Hassan Dilunga, Said Ndemla, Mohamed Ibrahim, Adam Salamba, Abdul Suleiman.
Naaaaaam mpira umeanza uwanja wa Taifa
00' Ruvu Shooting 0-0 Simba SC
07' Goooooooooaaaal gooooooaaal
Emmanuel Okwi anaipatia Simba bao la KWANZA baada ya kupokea pasi safi ya Kapombe
Ruvu Shooting 0-1 Simba SC
14' Bocco anapiga shuti la chini, lakini golikipa anadaka bila wasiwasi
Ruvu anashambulia lango la Simba, lakini mashambulizi hayaleti matunda
23' Meddie Kagereeeeeee gooooooaal..MK 14 anaandika bao la PILI baada ya kupigwa Kona
37' Ruvu wanafanya jaribio la mbali kwa kupiga shuti..Lakini mpira unatoka nje
Ruvu Shooting 0-2 Simba SC
45+2' Kuelekea kumalizika kwa kipindi cha kwanza. Naaaaaam mpira ni mapumziko ambapo Simba wanatoka wakiwa mbele ya bao mbili dhidi ya Ruvu Shooting
Ruvu Shooting 0-2 Simba SC
Kipindi cha pili kimeanza..kwa kasi..Bocco anakosa bao dakika 46
Ruvu wanakwenda mbele. Lakini mabeki wa Simba wanakaa vizuri na kuzuia hatari zote.
53' Gooooooooooaaal Emmanuel Okwi anaipatia Simba bao la TATU kufuatia pasi ya Kapombee
Ruvu Shooting 0-3 Simba SC
77' Simba wanakwenda sasa kwake Kapombee Gooooooooooaaal, Emmanuel Okwi anaipatia Simba bao la NNE na kuhesabu Hat-Trick ya kwanza msimu huu
Ruvu Shooting 0-4 Simba SC
84' Adam Salamba anachukua nafasi ya Emmanuel Okwi aliyepata rabsha
Ruvu wanashindwa kutengeneza mashambulizi na kutoa nafasi kwa Simba dakika hizi za lala salama.
89' Dilunga anakwenda kwake Adam..Gooooooooooaaal Gooooooooooaaal..Adam Salamba anaifungia Simba bao la TANO kwa shuti kali nje ya 18
Ruvu Shooting 0-5 Simba SC
90+3
Wakati wowote mpira utamalizika uwanja wa Taifa
Naaaaaaam mpira umekwisha ambapo Simba wanaibuka na ushindi mnono wa mabao matano bila majibu dhidi ya Ruvu Shooting
Mabao ya Emmanuel Okwi 3, Meddie Kagere 1, Adam Salamba 1 akihitimisha kalamu ya mabao
Tumekuletea mtanange huu ni timu mzima ya JF
Asante sana...
Ghazwat