Tanzania Premier League 'TPL' Simba SC Vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

Exactly mkuu, Simba SC wanaupiga mpira mwingi sana kwa viwango vilivyothibitishwa na Shirikisho la Soka Afrika CAF...!

SimbaNguvuMoja
Kuwa shabiki wa simba raha sanaaaa
 
Kuna timu inashinda 2-1 AU 1-0.. SIMBA TUNASHINDA 3-0, 7-1.
Hivi unafikiri magoli tutalingana nao kweli?.. Bado point 4 TU
Nakuelewa sana ila tuna sababu gani ya kufungana point na Mbute Fc..Binafsi sitafurahia ubingwa wa kuongoza magoli ila point sawa..

Tunakila sababu ya kuongoza kwa point..kwa hesabu hizi tunahitaji mechi mbili tu kuwa na point zisizoweza fikiwa na Yanga.
 
Kama ulivyonunua kwa Azam FC na ukauza kwa Lipuli FC

Bado alama 4 tuendelee kupanda Airbus A300 nyie Vyura endeleeni kushinda kwenye maji[emoji23][emoji23][emoji23]
Manunuzi FC tayari nyie.
 
Sawa mkuu.. ila point 4 tu tunakuwa mabingwa, Game zitakazobaki watacheza akina Salamba + R.JUMA full time.
 
Kama ulivyonunua kwa Azam FC na ukauza kwa Lipuli FC

Bado alama 4 tuendelee kupanda Airbus A300 nyie Vyura endeleeni kushinda kwenye maji[emoji23][emoji23][emoji23]
Mikia fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…