Tanzania Premier League (TPL) Simba VS Coastal Union....Uhuru Stadium ( Shamba la Bibi)

Dah leo Simba wamefurahisha hadi wakaanza na kunikera kwa matendo yao yasiyo kuwa ya kibinadamu.

Hvi haki za binadamu wako wapi? ?Wanaachaje unyama wote huu kutokea.


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila bora hata wametoka na kimoja cha kuwarudi Tanga
 
Issa maeda peke yake ndio hana gundu. Wengine wote wakitabiri hivi...matokeo yanakuwa mengine. Mimi kwenye mkeka naweka tofauti nao. Maana hawapatiagi.

Sijui wanatuuzaga makusudi. Maana wengi pale mawakala.
Watangazaji wa clouds wana gundu?[emoji23][emoji23]
 
Issa maeda peke yake ndio hana gundu. Wengine wote wakitabiri hivi...matokeo yanakuwa mengine. Mimi kwenye mkeka naweka tofauti nao. Maana hawapatiagi.

Sijui wanatuuzaga makusudi. Maana wengi pale mawakala.

Hahahahhh watakuwa wanafariji team zingine kwa kuwapa ushindi ambao hauwezekani
 
Hahaha..Hebu nikumbushie nafasi ya vyura katika Jamii!!
Ifike mahali kila mtu ajue nafasi yake katika jamii

Tanga yao mapenzi...hebu ona sasa huku mpirani wanavyojiaibisha [emoji16][emoji16]
Nina uhakika mapenzi hawayawezi[emoji23][emoji23]
 
Ndiyo umuhimu wa ku-diversify huku kukizingua kwingine kunakupa faraja.

Ila nilikuwa ovyo juzi baada ya Leicester kuzingua kwa City. Bora jana vijana wameniokoa.

Kimbembe kote kukiwa hovyo
Imagine shabiki wa yanga mixer united!

Ila mie kuanzia msimu ujao nna mpango wa kuacha kufatilia hizi mambo kama nitaweza...nimechoka stress aseee
 
Kimbembe kote kukiwa hovyo
Imagine shabiki wa yanga mixer united!

Ila mie kuanzia msimu ujao nna mpango wa kuacha kufatilia hizi mambo kama nitaweza...nimechoka stress aseee

Timu zikiwa zinazingua unajikuta automatically unapunguza tu, mimi presha huwa inakuwepo timu inapokuwa inafanya vizuri, ila ikiwa inazingua nachukulia kawaida maisha yanasonga.

Jipe mentality ya kwamba ikifungwa wamefungwa wao, ikishinda mmeshinda nyote.
 

Hiyo nishajaribu mara nyingi ila bado inauma...sisi tumeanza kuharibu muda mrefu ila hadi sasa inauma siwezi kuchukulia kawaida

Dawa ni kuacha kufatilia ila ndio sijajua how
 
Hiyo nishajaribu mara nyingi ila bado inauma...sisi tumeanza kuharibu muda mrefu ila hadi sasa inauma siwezi kuchukulia kawaida

Dawa ni kuacha kufatilia ila ndio sijajua how

Kuacha ni ngumu, hasa kipindi hiki cha mitandao, fanya self control, ya kuchukulia kawaida.

Na majukwaa ya michezo unaachana nayo, mimi huwa naumia kidogo sana, ila hainichukulii muda hasa tukiwa tunafungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…