Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
Ligi Kuu Bara inaendelea leo katika uwanja wa Uhuru, kati ya Ruvu Shooting dhidi ya Yanga. Endapo klabu ya Yanga itaondoka na pointi tatu katika mechi ya leo, moja kwa moja Yanga itaenda kuongoza ligi kwa pointi 83 wakiwa wamebakisha mechi mbili kumaliza ligi, huku ikiiacha Simba kwa pointi moja nyuma wakati huo Simba ikiwa na michezo 5 mkononi.
LINE-UPS
FULLTIME; Ruvu Shooting 0-1 Young Africans
LINE-UPS
FULLTIME; Ruvu Shooting 0-1 Young Africans