Tanzania Prisons 0-1 Simba | Ligi Kuu Bara | Uwanja wa Sokoine | 14/09/2022

Na
Habari mbaya kwa simba ni kua Benjamin Asukile ni mzima wa afya..

Wajela jela hawajawahi kuniangusha.

Huwa wanapiga pale pale kwenye ule mfupa unaouma.

Tz prisons 1-0 Simba..
Nasikia mwaisa Asukile kaingia na raba kubwaaa ila ndo hazijafanya kazi yaaani.

Ungeacha ushabiki ukageuza hayo matokeo chini juu kama unachezaga betting ungekula hela mkuu
 
Yani kutufunga mara 2 tena kwenye mechi ambazo wachezaji muhimu wali miss ndio imekuwa wimbo?

Unaelewa kwanini kabla ya mechi, yule mamluki alionekana kwenye hoteli ambayo Simba wali rent?

Unaelewa ule mpira ulikuwa based on betting na sio ubora?
Sisi tuta amini vipi kama wachezaji wenu hawapo?
 
Yani kutufunga mara 2 tena kwenye mechi ambazo wachezaji muhimu wali miss ndio imekuwa wimbo?

Unaelewa kwanini kabla ya mechi, yule mamluki alionekana kwenye hoteli ambayo Simba wali rent?

Unaelewa ule mpira ulikuwa based on betting na sio ubora?
Hapa tushike lipi ubora, betting, hujuma au wachezaji wenu hawakuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…