Pamoja na ahadi walizopewa hao washirika wenu kutoka kwa Hersi kwa njia na mgngo wa Silent Ocean lakini mtapigika tu,Prisons piga hawa umbwa Koko wanaojiita Simba wapunguze kidomo Domo chao
Genge la machokolaa lile hakuna team paleSimba team yenu nyepesi mno
Lazima mkimbie uzi... Hamna timu yakushindana na sisi.. Leo tupo hapa tumeweka kambi paka kielewekeNgoja kwanza ni log off. Simba ikifunga ntarudi ikifungwa basi nitafute kwanza Malta mbili nije na nguvu za kuwakabili utopwinyo mana uzi utakua wao. Hahahah
Mnaenda ongeza uchawi 🤠🤠🤠 imo ndani hamtoi na hamtoki..Ngoja kwanza ni log off. Simba ikifunga ntarudi ikifungwa basi nitafute kwanza Malta mbili nije na nguvu za kuwakabili utopwinyo mana uzi utakua wao. Hahahah
Kumbe bado mnaweweseka na KMC ??prisons leo atawapa hallucinationKwa mpira gani mlonao utopolo? Yani kwa sasa Simba inawadharau bora hata kmc wana mpira mzuri kuliko nyie
Hamna uwezo huo, labda mshinde njaaPamoja na ahadi walizopewa hao washirika wenu kutoka kwa Hersi kwa njia na mgngo wa Silent Ocean lakini mtapigika tu,
Imepetwa hiyoTunapata penati hapa
Acha kulia Lia mbumbumbu wewe.. Tunataka magoli ya halaliClear penalt…
Acha kulia Lia mbumbumbu wewe.. Tunataka magoli ya halali
Acha uzushiGoooooooo,simba 1,