Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ujaeleza sababuTimu ya TZ PRISON imehama kutoka kutumia uwanja wa sokoine jijini mbeya hadi kutumua uwanja wa Nelson Mandela mjini sumbawanga mkoa wa Rukwa, uwanja wa Nelson Mandela ndio ulitumika kwenye fainali zilizopita za kombe la Azam Federation
Nafikiri sababu kuu ni za kiuchumi, mbeya hawawezi kuingiza mashabiki wengi kama sumbawangaMkuu ujaeleza sababu
Binafsi naona poa maana mbeya kungekuwa na timu tatu ligi kuu pia kwa sumbawanga kule watu bado washamba kila mechi watajaa uwanjaniSasa.. unalizungumziaje hili mkuu!?
Lete habari yoteTimu ya TZ PRISON imehama kutoka kutumia uwanja wa sokoine jijini mbeya hadi kutumua uwanja wa Nelson Mandela mjini sumbawanga mkoa wa Rukwa, uwanja wa Nelson Mandela ndio ulitumika kwenye fainali zilizopita za kombe la Azam Federation
Aliyekwambia hiyo habari sio yote nani?Lete habari yote
Mkuu kuingia uwanjani n ushamba?Binafsi naona poa maana mbeya kungekuwa na timu tatu ligi kuu pia kwa sumbawanga kule watu bado washamba kila mechi watajaa uwanjani
Ushamba ni kwenda kushangaa wachezaji badala ya kuangalia soka,Mkuu kuingia uwanjani n ushamba?
Kwamba kujaa uwanjani kuangalia kila mechi ni ushamba?Binafsi naona poa maana mbeya kungekuwa na timu tatu ligi kuu pia kwa sumbawanga kule watu bado washamba kila mechi watajaa uwanjani
Kwamba kujaa uwanjani kuangalia kila mechi ni ushamba?Binafsi naona poa maana mbeya kungekuwa na timu tatu ligi kuu pia kwa sumbawanga kule watu bado washamba kila mechi watajaa uwanjani
Yaani wewe una fikra zile za kuamini timu zinazopaswa kushabikiwa ni simba na yanga tu.Ushamba ni kwenda kushangaa wachezaji badala ya kuangalia soka,
Binafsi naona poa maana mbeya kungekuwa na timu tatu ligi kuu pia kwa sumbawanga kule watu bado washamba kila mechi watajaa uwanjani
Hapana kuna wachawi, swashamba wapo kataviWewe Sumbawanga kuna washamba ?
Hapana kuna wachawi, swashamba wapo katavi
Binafsi naona poa maana mbeya kungekuwa na timu tatu ligi kuu pia kwa sumbawanga kule watu bado washamba kila mechi watajaa uwanjani
Hapana mkuu nisameheni pia nawaomba hata mechi ya prison vs jkt ruvu mjae uwanjani ili hao prison wasifikirie kurudi mbeyaUsitudharau mkuu. Sie kupenda michezo ni ushamba?