William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
" Choose your life's mate carefully. From this one decision will come ninety percent of all your happines or misery.." - Author Unknown."
Huu msemo kaka umeweka vice versa makusudi au? mi niiweke hivi If u can't beat em' join em' kwa maana rais Kikwete ameshindwa kupambana na mafisadi akaamua kujiunga nao, au alikuwa nao tangu mwanzo?If you can't join them, beat em'
".. Waafrika ndivyo tulivyo.." - Author Nyani Ngabu (Member-JF).
Tunaridhika sana na mambo madogo madogo, hatubadiliki na hatupendi maendeleo ya kweli, matokeo yake tunaendelea kuwachagua viongozi wale wale wabovu tena sometimes kwa mpaka kura za 80%, ni kwa sababu ndivyo tulivyo, yaani akili yetu ni kama ya viongozi wetu, na ni olny in Tanzania tu!.
" Kina mama pia endeleeni kuzaa wasichana wazuri kwani katika miaka hii miwili hata kwenye mashindano ya urembo duniani tumetamba. Nancy Sumari alipata tuzo ya Mrembo Bora wa Afrika katika mashindano ya Miss World mwaka jana. " -- Jakaya Kikwete
..natafuta nyingine alipokuwa akizungumzia wasichana kuchirizika maziwa darasani!!
"Ikiwa tutaruhusu wasichana waliojifungua kurudi mashuleni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa darasani" --- J.M.Kikwete
..sijui kama nimeipatia 100%. but he said something close to that.
".. Waafrika ndivyo tulivyo.." - Author Nyani Ngabu (Member-JF).
Tunaridhika sana na mambo madogo madogo, hatubadiliki na hatupendi maendeleo ya kweli, matokeo yake tunaendelea kuwachagua viongozi wale wale wabovu tena sometimes kwa mpaka kura za 80%, ni kwa sababu ndivyo tulivyo, yaani akili yetu ni kama ya viongozi wetu, na ni olny in Tanzania tu!.