William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #181
"Namuheshimu sana Profesa Maghembe lakini kwa kuwa ameanza kunichafua na kuniita kizee kinachong'ang'ania jimbo la Moshi mjini, sasa nitaanza kumshughulikia kisiasa hadi nimng'oe ubunge 2010,"
-Mh Ndesamburo
".. Waafrika ndivyo tulivyo.." - Author Nyani Ngabu (Member-JF).
Tunaridhika sana na mambo madogo madogo, hatubadiliki na hatupendi maendeleo ya kweli, matokeo yake tunaendelea kuwachagua viongozi wale wale wabovu tena sometimes kwa mpaka kura za 80%, ni kwa sababu ndivyo tulivyo, yaani akili yetu ni kama ya viongozi wetu, na ni olny in Tanzania tu!.
Ndugu Field Marshal, Natanguliza heshima, na kwa taadhima naomba kutokubaliana na wewe kuhusu hili suala, hata wenzetu wa ughaibuni huwa wanachagua kiongozi huyo huyo hata kama hana anufaaa kwa jamii. Watu wa jimbo la Illinois walimchagua Rod Blagojevic mara mbili, meya wa jiji la Chicago ndiyo usiseme anatoa mpya kila siku na watu bado wanamchagua.
Kwa hiyo kwa kuchagua viongozi tuliyowazoea nadhani ni ugonjwa wa kibinaadamu si Watanzania tu.