...in recent years......Samia Suluhu?....use your brain properly!Tanzania recently years it has been improve it's export to Kenya and other EAC due to have strong industrialization policy driven by her Excellence. Samia suluhu
Watu wengi wapi? Labda wakenya wenzio sababu hakuna watu wenye kujua mambo mengi kama Watanzania, ilijengwa mwaka gani?Ni reli ya zamani. Ilijengwa wakati wa ukoloni. Watu wengi hawana habari kuihusu
Bro hamtakiwi huku wala usijiliwaze kwenye hamna, hatujawahi kuwa na ukaribu na ninyi hilo lipo wazi halafu nakushangaa sana unavyosema Nyerere alitofautiana na land grabber wenu kwenye baina ya socialism na capitalism kwenye EAC, ni lini na wapi kulikua na majadiliano ya kuwa na siasa ya pamoja EAC?Hayo ni maoni yako binafsi. Wewe unaongea kama mtu mmoja. Usijifanye kwamba unaongea kwa niaba ya Watanzania wote milioni 60.
Wewe unafikiri EAC ya zamani ilivunjika kwa nini kama sio malumbano kati ya Nyerere na Kenyatta?Bro hamtakiwi huku wala usijiliwaze kwenye hamna, hatujawahi kuwa na ukaribu na ninyi hilo lipo wazi halafu nakushangaa sana unavyosema Nyerere alitofautiana na land grabber wenu kwenye baina ya socialism na capitalism kwenye EAC, ni lini na wapi kulikua na majadiliano ya kuwa na siasa ya pamoja EAC?
Huo ndio ukweli, Tanzania hatuna interest na Kenya, Bora mngezidisha mahusiano na failed state wenzenu wa Ethiopia [emoji23][emoji23][emoji23]Hayo ni maoni yako binafsi. Wewe unaongea kama mtu mmoja. Usijifanye kwamba unaongea kwa niaba ya Watanzania wote milioni 60.
Fungeni kwanza tuone haahahahaah...Usiringe sana, tunaweza kufunga border wakati wowote. Mnafaidika kwa hisani ya ukarimu wetu.
Sababu kubwa ilikua ni Idd Amin kumpindua Obbote na yeye kukimbilia Tanzania, Nyerere aliamua kuwasaidia wapinzani wa Idd Amin ili wamfurushe madarakani, kwa kipindi chote hicho vikao vya Marais wa EAC havikufanyika kwasababu Nyerere alikataa kukaa meza Moja na Amin.Wewe unafikiri EAC ya zamani ilivunjika kwa nini kama sio malumbano kati ya Nyerere na Kenyatta?
Hivyo ndivyo ulivyojibu swali langu la msingi?Wewe unafikiri EAC ya zamani ilivunjika kwa nini kama sio malumbano kati ya Nyerere na Kenyatta?
Hawatakagi kumpa credit jiwe, ila, we all know....in recent years......Samia Suluhu?....use your brain
Ungekua mama samia ningekuamini, but then again your just another keyboard warrior, with a hateful heart[emoji23]We don't trust Kenya as a country and it's leadership, don't expect better business relationship with Tanzania
Bado turudi COMESA na tushaingia Africa wide free trade areaHahahaha, Tanzania records surpluses in both SADC and EAC, Tanzania is a Giant.
yaani hawa watu wapuuzi sana.....wakati wa jk pia international trade iliboom sana japo na ufisadi uliota miziziHawatakagi kumpa credit jiwe, ila, we all know.
Msilazimishe mahusiano na Tanzania, Kama mlishindwa kuelewana na Nyerere, a humble man, panafricanist, one among the most respected men on Earth, kamwe Kenya na Tanzania hatuwezi kuelewana, bahati mbaya ameshafariki hamuwezi kumuomba msamahaUngekua mama samia ningekuamini, but then again your just another keyboard warrior, with a hateful heart[emoji23]
Watu wanapiga hela wewe uko hapo na upuzi tu, you should be studiedMsilazimishe mahusiano na Tanzania, Kama mlishindwa kuelewana na Nyerere, a humble man, panafricanist, one among the most respected men on Earth, kamwe Kenya na Tanzania hatuwezi kuelewana, bahati mbaya ameshafariki hamuwezi kumuomba msamaha
Hata Uhuru Kenyatta na familia yake wamewaibia pesa nyingi na kuzificha nje ya nchi, Tanzania na Kenya ni nchi tofauti Sana, Endeleeni na maisha yenu ya kupiga hela, rushwa, ukabila, nepotism na kila aina ya uchafu lakini sisi msitukaribie hatutaki mahusiano na ninyi.Watu wanapiga hela wewe uko hapo na upuzi tu, you should be studied
Magufuli alienda vizuri sana na Wakenya, ukiwapa uhuru mkubwa huwa wanautumia vibaya.Sababu za kuwazidi ni "strong industrialization policy" ambayo iliwekwa na Magufuli, tuliwaambia kwamba Magufuli atazamisha kabisa manufacturing industry ya Kenya, subiri mwakani Bwawa la Nyerere likianza kuzalisha umeme, viwanda vya Kenya vitafungwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisa, Hawa jamaa ni vichwa maji Sana, kila mtu anajifanya anajua zaidi kuliko mwengine, hawajiheshimu, hawana ustaarabu wa kusikilizana na kuvimiliana, hawana utu Wala ubinadamu, Mugufuli ndiye alikua kiboko Yao.Magufuli alienda vizuri sana na Wakenya, ukiwapa uhuru mkubwa huwa wanautumia vibaya.
Kenya siku hizi inaheshimika Afrika nzima kushinda TZHata Uhuru Kenyatta na familia yake wamewaibia pesa nyingi na kuzificha nje ya nchi, Tanzania na Kenya ni nchi tofauti Sana, Endeleeni na maisha yenu ya kupiga hela, rushwa, ukabila, nepotism na kila aina ya uchafu lakini sisi msitukaribie hatutaki mahusiano na ninyi.
Nafasi zote mnazogombania Africa na duniani mnashindwa, mnagombana na majirani wote, nani ataheshimu Kenya?. Any way sisi hatutaki mahusiano na ninyi, mnao majirani wengi tu, Somalia, Ethiopia, SSudan na Uganda, achaneni na Tanzania,[emoji23][emoji23][emoji23]Kenya siku hizi inaheshimika Afrika nzima kushinda TZ