Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,232
Tangu mchakato wa kutoa maoni ya KATIBA uanze, baadhi ya watanzania kwa kupitia Radio fulani pia makongamano mbalimbali ya katiba wanapenda sasa nchi iwe na siku tatu za kupumzika hili pia waislam nao wapate nafasi ya ibada ili iwe haki sawa. Siku ya Ijumaa (Waislam), Jumamosi (Wasabato), Jumapili( Madhehebu mengine ya Kikristu)
Nchi kama Saudi arabia mapumziko yao ni Alhamis na Ijumaa, Nchi za Ulaya Mapumziko yao ni Jumamosi na Jumapili. Hapa kwetu ni Jumamosi na Jumapili. Sina uhakika kama Jumapili na Jumamosi zipo kwenye Katiba ya sasa au ni mfumo tulio urithi kwa wakoloni.
Mimi binafsi naona kama siku ya mapumziko itaanzia Ijumaa basi tutakuwa tumeweka rekodi ya dunia kwa kurest. We unasemaje?
Nchi kama Saudi arabia mapumziko yao ni Alhamis na Ijumaa, Nchi za Ulaya Mapumziko yao ni Jumamosi na Jumapili. Hapa kwetu ni Jumamosi na Jumapili. Sina uhakika kama Jumapili na Jumamosi zipo kwenye Katiba ya sasa au ni mfumo tulio urithi kwa wakoloni.
Mimi binafsi naona kama siku ya mapumziko itaanzia Ijumaa basi tutakuwa tumeweka rekodi ya dunia kwa kurest. We unasemaje?