Waturuki bana, me wananifurahisha kwelii....Na hapo bado vituo (stations).
Wangetupa hata renders za hivyo vituo.
JPM alisema "statistics can't feed hungry people?" au unatania?Wakenya wanadhani tunatania tania.
Hahaaa si mzee nae ataibuka Dom 2020Alafu eti ndo tunahamisha makao dodoma, sawa na baba kuwaambia watoto wakalale banda la ngombe kisha yeye analala chumbani kwakwe.
shua ni mwendo wakuwashtukizaWaturuki bana, me wananifurahisha kwelii....
naona jamaa kawakomalia asitoe render, itapunguza utamu...
Ni mwendo wa "shocked surprise ", mara maaaaap kitu hiki juu kwa juu... mara
Kamata ileeee, Karume ileeee, Boma paleee, Amana paleeee, Veta paleee, Malapa paleee... Hahahah hatari sheikh
hapo itakuwa ni magoli sana.... itatisha aiseekuna mpango pia wakuunga hii SGR na Terminal 3 ya Julius Nyerere International Airoport.
mbona fresh...... Wacha tuliache liwe jiji la biashara..... na dodoma iwe ya kiserikali zaidi...Alafu eti ndo tunahamisha makao dodoma, sawa na baba kuwaambia watoto wakalale banda la ngombe kisha yeye analala chumbani kwakwe.