passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Bro Tanzania ikiamua kutekeleza jambo lake hakuna wa kuizuia.Asiejielewa ni wewe pamoja na Magufuli ambae amefanya ufisadi wa TZS trillion 1.5 ila wewe bado unaona kuwa una Rais asiependa ufisadi!View attachment 1595283
Duh!duh!duh!!!Unaishi Tanzania mkuu?Hukumbuki hata kisa cha CAG Hassad kuundiwa zengwe na kutimuliwa kazi?Hadi wachora katuni akina Masoud wamechora sana katuni za huu ufisadi kama hiyo niliyotuma hapa!Wewe hufuatilii mambo kazi yako ni kusema ndiyo kila kitu cha Magufuli?Huo ufisadi kaufanyia wapi ndo nausikia kwako acha kukurupuka magufuli ndo raisi bora afrika kwa sasa.
Tatizo Magufuli ni kilazaBro Tanzania ikiamua kutekeleza jambo lake hakuna wa kuizuia.
Nachomaanisha unauhakika ufisadi umefanyika?thibitisha kama umefanyia au huwezi jua kama hizo hela zimetumika kufanya maalum.Duh!duh!duh!!!Unaishi Tanzania mkuu?Hukumbuki hata kisa cha CAG Hassad kuundiwa zengwe na kutimuliwa kazi?Hadi wachora katuni akina Masoud wamechora sana katuni za huu ufisadi kama hiyo niliyotuma hapa!Wewe hufuatilii mambo kazi yako ni kusema ndiyo kila kitu cha Magufuli?
Ninaposema kuwa Magufuli is a country bumpkin sisemi hivyo kwa sababu za kishabiki za kisiasa bali kwa sababu ya mambo maovu ya kutisha aliyofanya Magufuli akiwa Rais
Hapo ndo unapokoseaTatizo Magufuli ni kilaza
Mimi ni nani hadi niwe na ushahidi mkubwa zaidi ya ushahidi wa CAG?CAG alithibitisha kuwa hizo hela zilipigwa na serekali ya MagufuliNachomaanisha unauhakika ufisadi umefanyika?thibitisha kama umefanyia au huwezi jua kama hizo hela zimetumika kufanya maalum.
Unauhakika hiyo hela imetumia kwa kwa mambo ya ovyo?Mimi ni nani hadi niwe na ushahidi mkubwa zaidi ya ushahidi wa CAG?CAG alithibitisha kuwa hizo hela zilipigwa na serekali ya Magufuli
Mkuu hukufuatilia hii skendo?Mbona ilikuwa maarufu sana hadi kwenye lile bunge la Ndugai lisilokuwa na meno?Kisa cha CAG Hassad kuondolewa na Magufuli ilikuwa ni hii ishuUnauhakika hiyo hela imetumia kwa kwa mambo ya ovyo?
Sawa wewe Ni mwelevu👏👏👏🤣🤣🤣Tatizo Magufuli ni kilaza
Ni kilaza kwa sababu tokea Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 hakuna Rais ambae amewahi kupiga tukio la ufisadi wa TZS trillion 1.5 lakini Magufuli amethubutu bila aibu wala soni achilia mbali kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake bila budget kupitia bungeni kama vile Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga.Sawa wewe Ni mwelevu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapinzani uchwara ...mbona nyie miaka 25 na ni hii takataka mejenga[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
OK nmeona kwa google maps hiyo CDRB ina branch 3 maeneo ya Kilimanjaro na ArushaMkuu hapa nimetoka kapa.Sijakuelewa
Giant kitu gani.Time will tell! Just wait.We are the new Giant in the zone better get used to it.!! Tunawaletea na Gas huko mjue usiniongelee vibaya buda! Hivi hamuoni hata wachezaji wenu wanakuja kucheza huku kwenye Hela au Joash and kahata are not Kenyans?
Wewe izo maneno mbili ndo umeandika kitu.Just nonsense hamna hata kitu cha maana ulichoandika
SGR imeshafail.Bro Tanzania SGR can never fail tuna resources ya kutosha ya kufanikisha hili.
Boya wewe, yaani kwa akili yako unafikiri Masoud anaipinga serikali? Tanzania ni zaidi ya uijuavyo....Umemuona juzi juzi akiongoza kipindi cha miradi ya TAMISEMI (Ofisi ya Rais TAMISEMI) ?Ni kilaza kwa sababu tokea Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 hakuna Rais ambae amewahi kupiga tukio la ufisadi wa TZS trillion 1.5 lakini Magufuli amethubutu bila aibu wala soni achilia mbali kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake bila budget kupitia bungeni kama vile Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga.View attachment 1595305
Banyamulenge mrudi kwenu mtuache! Mlishazoea tabu na fujo kwenu- we are the Giant in making!Giant kitu gani.
SGR imekwama porini sababu ya wizi wa hela kupotia CCM. CCM wanajenga reli substandard hadi mkandarasi abomoe sababu its a risk to public safety. View attachment 1595368
Mbona mnawashwa hela iwe imekopwa au yetu sio shida ili mradi tutakuwa na SGR treni na kama wakati wanatest imeanguka nayo ni nzuri zaidi kwani tunataka awe makini na atengeneze vizuri ni bora ianguke mara 100 wakati huu wa ujenzi kuliko ianguke mara moja ikiwa na abiria na imekabidhiwa tayari kwa serikaliThe Tanzanian SGR has been very secretive. While President Magufuli publicly says that they are financing it with internal government funds, there are records of billions of dollars borrowed specifically for this project. At least $2.6 billion has come in form of a loan from Export Credit Bank of Turkey and Standard Chartered Bank.
There are also many conflicting figures on the timelines of this project completion and safety. Not to mention its freight capacity and so on
Below an image shows a derailed test train. According to various social media accounts, comments show that Yapi the Turkish contractor has been forced to bring down a whole bridge and re-do parts of the SGR in downtown Dar-es-Salaam due to safety issues. View attachment 1595201