Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

Kama ripoti ya CAG haifanyiwi kazi ni nani atakuwa mzalendo.chukua chako mapema.usiwalaumu waliotoa fake certificate.kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Thank you Pascal Mayalla, you are back with vengeance. Kiufupi tu, Tanzania baada ya Magufuli hatuna viongozi wazalendo ama waadilifu, huyu Mama alianza vizuri just for a week ila sasa anaboronga kishenzi. Kaikimbia nchi yuko nje anatalii tu wakati ile kazi wanaweza fanya mabalozi wetu na maafisa wao kwa sababu ndiyo jukumu lao. Kuna mengi ya kusema ila kwa kifupi ni haya tu kwa sasa.
 
Yeah hapo umesema Paskali.
 
SERIKALI YA CCM CHINI YA SA100 NI MAFIII KABISA
 
Unaifahamu sheria ya madini? Unafahamu masharti ya leseni ya uchimbaji? Unafahamu mchimbaji anatakiwa kufanya nini kabla kuuza madini yake? Unajua kazi za tume ya madini? Unajua thamani ya madini hutamkwa na nani kisheria? Madini sio mahindi bro.
 
Mpumbavu wewe kabisa.... hujui kila unapofanya muamala lazima sheria za nchi zifuatwe. Unadhani biashara ya madini ni sawa na unavyouza utu wako... kodi lazima zilipwe. Mchimbaji na mnunuzi wote wana haki ya kupata fedha wanayostahili na sio porojo porojo tu unazopiga. Sijui una akili za wapi wewe...
 
Hakuna sheria iliyovunjwa. Mchimbaji aliuza Jiwe lake na akalipwa na mnunuzi akalisajili Jiwe na kupewa certificate na ndio maana origin ya Jiwe hilo ikajulikana.
Sasa hiyo tume ikienda huko Dubai itakwenda
kutafuta nini kisichojulikana?
Taasisi zenu zina wa lakini na suluhisho la udhaifu huu ni kuwa na taasisi zitakazuia mapungufu haya yasitokee na hilo linawezekana tu tukipata katiba mpya!
 
Biashara ikifanyika kiholela hivyo unadhani serikali itapataje kodi itokanayo na mauzo hayo? Ndo maana yakaanzishwa masoko ya madini katika mikoa yenye madini.
 
Hizo ni story ruby iko kwa laizer wa longido ya kutosha yani tani za kushato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…