Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

mimi naona hilo jiwe limesaidia sana kuitangaza na kuifungua nchi maana dunia nzima imeona jinsi Tanzania ikivyobarikiwa
True, kwa sasa wakati bado haijajulikana its fake, its good publicity and lets enjoy it. hivyo for now, its good publicity, lakini ukweli ukibainika its fake, na mdada kufutwa, the bad publicity would outshine the good publicity.
P
 
True, kwa sasa wakati bado haijajulikana its fake, its good publicity and lets enjoy it. hivyo for now, its good publicity, lakini ukweli ukibainika its fake, na mdada kufutwa, the bad publicity would outshine the good publicity.
P
Kwa katiba hii mbovu mali za umma zitapigwa sn na hatutakaa tuendelee hata kidogo
 

Mkuu kwa ivo unaunga mkono uharamia uliofanywa dhidi ya nyara za serikal wa kugawiwa kama zawadi? Kabisa?
 
Sawasawa...Mwalimu tu ndie Hakuwa Fisadi kwenye rasilimali zetu..
 
Makinikia ya matrillion yaliendelea kwenda nje hata baada ya Jiwe kusema amesitisha, na kwamba tutalipwa trillion 400..hatukupewa hata sh kumi, na makinikia ikaendelea kwenda nje kama kawaida. Alifanya nini?
Duh..
 
Mkuu Paschal nakushauri uendeshe kipindi pale Star TV cha rubi wale jamaa wanavipindi vizuri sn nawakubali sn mijadala yao, awepo Aloyce Nyanda, Doto Bulendu na Mansoon hata report ya CAG wameitendea haki sn kwakweli naweza kusema ndiyo TV bora kwa sasa kwa mijadala mipana ya taifa letu
 
Ishu ya kuwa ya longido tuliahawaambia humu muda tu nyie mnagundua leo

Tatizo wataalam wa madini nchi hii hakuna kitu tunawaonaga field

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…