MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Oct 25, 2014 #21 Kimweri said: Kutembelea na Kukaa ni vitu viwili tofauti, cheer up. Click to expand... Hahaha!! haya bwana natumai mtatuambia hadi mswaki aliopewa ni brand gani. Mchina jinsi anavyocheza ngoma zake kwa Waswahili...... noma!!!
Kimweri said: Kutembelea na Kukaa ni vitu viwili tofauti, cheer up. Click to expand... Hahaha!! haya bwana natumai mtatuambia hadi mswaki aliopewa ni brand gani. Mchina jinsi anavyocheza ngoma zake kwa Waswahili...... noma!!!
K Kimweri JF-Expert Member Joined Apr 16, 2008 Posts 3,999 Reaction score 3,955 Oct 26, 2014 #22 lawmaina78 said: Hahaha!! haya bwana natumai mtatuambia hadi mswaki aliopewa ni brand gani. Mchina jinsi anavyocheza ngoma zake kwa Waswahili...... noma!!! Click to expand... Hebu mwache Mkw*re wetu afaidi,yani BJ amekufanya kama sebuleni kwa shangazi zake, akiishiwa tu huyo! wenyewe wanatuita "Lao Pengyou", wakimaanisha old friends. Muhimu wasitudai tu, maana hatuna rekodi nzuri ya kulipa madeni, na huishiwa kusamehewa tu.
lawmaina78 said: Hahaha!! haya bwana natumai mtatuambia hadi mswaki aliopewa ni brand gani. Mchina jinsi anavyocheza ngoma zake kwa Waswahili...... noma!!! Click to expand... Hebu mwache Mkw*re wetu afaidi,yani BJ amekufanya kama sebuleni kwa shangazi zake, akiishiwa tu huyo! wenyewe wanatuita "Lao Pengyou", wakimaanisha old friends. Muhimu wasitudai tu, maana hatuna rekodi nzuri ya kulipa madeni, na huishiwa kusamehewa tu.
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Oct 26, 2014 #23 Zogwale said: Amaaaaah. Ok. For whose benefit? Watanzania wengi bado maskini sana na hawaezi kutoka katika umaskini huo. Poleni watanzania wezangu. Tunateseka kuwatumia misaada tu hakuna ahueni. Click to expand... Pole sana ikiwa huzioni fursa ziliopo.
Zogwale said: Amaaaaah. Ok. For whose benefit? Watanzania wengi bado maskini sana na hawaezi kutoka katika umaskini huo. Poleni watanzania wezangu. Tunateseka kuwatumia misaada tu hakuna ahueni. Click to expand... Pole sana ikiwa huzioni fursa ziliopo.