Tanzania sold oil license to purchase an air slaughter house(ATCL)


Boy keep on scavanging, may be you gonna pick some valuables amid the contamination of Kibera poop.
 
Reactions: Oii
Achana na huyu mpumbavu [emoji23][emoji23][emoji23] kuna sindano mlimdunda sijajua ni ipi hiyo maana ilimchoma kweli kweli, angalia uzi anazofungua leo
Boy keep on scavanging may be you gonna pick some valuables amid the contamination of Kibera poop.
 
Achana na huyu mpumbavu [emoji23][emoji23][emoji23] kuna sindano mlimdunda sijajua ni ipi hiyo maana ilimchoma kweli kweli, angalia uzi anazofungua leo

Ni ya yule mkenya muungwana muandishi wa habari aliye tembelea Tanzania, ambaye ana mawazo yaliyo sawazika. Baada ya kutoa ule uzi, mpaka sasa jamaa wamechanganyikiwa. Kumbe sindano ukichomwa na ndugu yako ni mbaya, inauma kuliko kuchomwa na mtu baki. teh teh teehe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] itakua asee, alafu si unakumbuka huyu mpumbavu huwa anaenda kuponda SGR yetu kule youtube
 
[emoji23][emoji23][emoji23] itakua asee, alafu si unakumbuka huyu mpumbavu huwa anaenda kuponda SGR yetu kule youtube
And i will continue to do so because, you boast too much while accomplishing nothing. Those cow sheds are not train stations. Build better ones then come and boast. You don't build a cowshed then come to boast "The best railway", or you build a fish landing site then come to boast on "Biggest port". Pimbaf as your compatriots would say.
 
Hivi unajua SGR yenu haina tofauti yoyote na MGR yetu [emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu kitu kibaya sana
 
Hivi unajua SGR yenu haina tofauti yoyote na MGR yetu [emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu kitu kibaya sana
Now there we have it, I wanted you to announce to Kenyans about your delusions of grandeur and mental illness.
 
Duh! Noma sana...hehehe

Soma hiyo habari ni ya lini na kama hizo ndege zilikuja. Halafu hamna Mchina kwenye utafutaji wa mafuta.
Mtafutieni mwenzenu dawa, kichaa kimempanda leo.
 
Reactions: Oii

Duuu, kijana unamwagika povu. Aha ha ha.
Yule muandishi mkenya mumkane kuwa si raia mwenzenu. Pia si mzalendo. Yaani anaifyagilia LCD kirahisi rahisi tu. Bwah ha hah ha.
 
Very cheap. Yaani watu wanauza urithi wao kwa bei ya bombadier mbili za mtumba? Kwa hela zetu za ndani!
Anakuingiza chaka huyo mleta thread.
Hiyo kampuni ya kichina haina kitalu cha oil hapa TZ.

Na ATCL haijanunua ndege ya Ambrier yoyote toka lilipoandika hivyo gazeti 2009 hadi leo kuna ndege 6 mpya sio used.
 
Oooops he's butt hurt like a wounded lion. The idea that the master of propaganda threads is now accusing others of propaganda is rich with hypocrisy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…