Tanzania sold oil license to purchase an air slaughter house(ATCL)

Akirudi, nitajua huyu jamaa ni kichwa cha panzi.
Kuna tofauti ya ajali na ujinga...Hio ya Kenya ilikuwa ajali ilhali ya Tz ilikuwa ujinga na iliwahi fanyika Kenya 10 years ago...yani kinachoendelea Tz currently, happened eons ago in Kenya. We always ahead of you guys not only economically but also brainwise.
 
So, tank la oil likianguka pale kibera, likawa lina leak oil, nobody would dare. Kadanganye nyanyaako.
 

Wewe ni mtoto mdogo, utulie tu.
Mwaka 1999 kitu kama hicho kilitokea Mbeya. Lkn wewe uko sawa na wale vijana wenzako waendesha boda boda ambao walikuwa wanachota mafuta na kujaza kwenye boda zao, hapo hapo kwenye tukio. Sababu ni kuwa, hawana experience au kupuuza mambo, as the youngsters minds are normally not thinking about bad things. No risk consideration in their minds.
 
hahahaha we m254 unahangaika kutafuta habari za uongo uongo ..tu iv hukusikia ya kuwa tulinunua kwa pesa yetu mfukoni ? au unafikiri ATCL ni sawa na KQ
 
hahahaha we m254 unahangaika kutafuta habari za uongo uongo ..tu iv hukusikia ya kuwa tulinunua kwa pesa yetu mfukoni ? au unafikiri ATCL ni sawa na KQ
Kumbe Mchina Yuko ndani ndani ndaaaani kabisa.
 
So, tank la oil likianguka pale kibera, likawa lina leak oil, nobody would dare. Kadanganye nyanyaako.
Hizo ni assumptions si uliona ile ilikuwa Nakuru juzi hakuna mtu alikaribia Tena polisi walikuwa macho...weka your favourite Kenyan channel(s) ujionee.
 
A missed shot!!!!!
 
kama ni kweli JPM mtu makini sana, kwa bei hiyo lazima hela imesharudi na sasa anakula faida, halafu ile Dreamliner ilikuwa ya vunjabei na sasa inachana anga kwenda India XMas itakuwa kwa malkia, na mwakani wanunua makorija ya kichina watakula nayo bata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…