Tanzania soon tunawapiga bao Kenya kwenye kupata mizigo mingi zaidi EA

Tanzania soon tunawapiga bao Kenya kwenye kupata mizigo mingi zaidi EA

Freddie Matuja

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
1,479
Reaction score
2,877
Ijumaa Karim ndugu zangu Watanzania.

Tanzania kupitia bandari ya Dar kwa sasa imevutia kupitisha mizigo mingi hasa toka Burundi kwa ku-charge bei ambayo wateja wanaweza kumudu. Kwa mujibu wa gazetu la the East African ninanukuu "On average it costs $1.80 per kilometre per container to transport goods from the port of Dar es Salaam to Bujumbura compared with $3.10 per kilometre per container from the port of Mombasa"
Rejea hapa chini kwa undani zaidi
Dar port dangles cheaper cargo rates than Mombasa

Kwa rate hizi, bila shaka hata Uganda na Rwanda wanaweza kuachana na "coalition of the willing" wakatumia bandari yetu.

Congo ni wa kwetu na tu-maximize kwa kuwa na good customer service kwenye maeneo mengine pia.

Kwa kuvutia wateja wengi kupitishia mizigo Tanzania kupitia Dar, inafanya private sector ifaidike na mnyororo wa thamani kwa kampuni na forodha (clearing and forwarding) kupata kazi,
kampuni za usafirishaji kufanya biashara,
Bandari kupata mizigo na kupata charges zaidi
Hotel/guest house kufanya biashara,
vituo vya mafuta kuuza "wese" kwa magari yanayosafirisha containers,
wauza chakula kupita migahawa na canteen kuhudumia wateja toka nje,
banks zetu kufanya biashara ya fedha kama ni kubadili fedha au makato ya withdrawals.

Hapa kuna biashara kubwa sana inafanyika,
hongereni wizara ya uchukuzi kuwa very strategic kwenye pricing.

Alamsiki
 
Hizo ni ndoto za alinacha, hujui usemalo..

Dar Port inayoongozwa Kisiasa haiwezi kushindana hata siku moja na Mombasa Port ambayo inaendeshwa kibiashara, ina berths 24 ambazo zote ni fully automated, against 11 za Dar Port ambazo hata vifaa hakuna(ukiacha berth 4 za TICTS). Kina(depth) katika Mombasa Port ni mita 19 wakati wa maji ya kupwa...Dar is Only 14

And So Mombasa port ina uwezo wa kupokea meli kubwa kubwa, both ship turnaround na cargo dwell time kwa Mombasa port ni below 48 hours...and So it is hugely efficient.

Kwa kifupi huwezi kushindana na Mombasa port, aliyekutangulia kakutangulia tu

Hapa hata malori na wagons za TRC za kubeba mizigo ya wateja zinakosekana..

Yan Kenya ni akili kubwa, tutajitutumua tu kwa sababu kuna Kilaza mmoja anahangaikia kura But Ukweli is...Kenya ni Economic Superpower ya EA na wataendelea kuwa hivyo
 
Hizo ni ndoto za alinacha, hujui usemalo..

Dar Port inayoongozwa Kisiasa haiwezi kushindana hata siku moja na Mombasa Port ambayo inaendeshwa kibiashara, ina berths 24 ambazo zote ni fully automated, na kina chake ni mita 19 wakati wa maji ya kupwa...and So It is hugely efficient and so inapokea meli kubwa kubwa, both ship turnaround na cargo dwell time kwa Mombasa port ni below 48 hours...huwezi kushindana nao, hapa hata malori na wagons za TRC za kubeba mizigo ya wateja zinakosekana..

Yan Kenya ni akili kubwa, tutajitutumua tu kwa sababu kuna Kilaza mmoja anahangaikia kura But Ukweli is...Kenya ni Economic Superpower ya EA na wataendelea kuwa hivyo

Dar port dangles cheaper cargo rates than Mombasa
Gazeti la the East African sio la Uhuru au Mzalendo. Ni gazeti la Kenya na wao ndio wametoa taarifa kama awekening call kwa Wakenya wenzao namna gani wapunguze rate.

Mimi ni Mtanzania na najivunia kwa bandari yetu kuja na such a competitive pricing/charges knowing kuna mahali Tanzania inafaidika.

Tanzania ikifanya vema ntasifia, ntaitetea Tanzania, mimi ni Mtanzania na kwa yale yanayofanyika kwa wema kuijenga Tanzania ikiwamo kufungua fursa za biashara, basi ntasimama na Tanzania kwa kuwa ripple effect inagusa private sector ya Tanzania.
 
Hizo ni ndoto za alinacha, hujui usemalo..

Dar Port inayoongozwa Kisiasa haiwezi kushindana hata siku moja na Mombasa Port ambayo inaendeshwa kibiashara, ina berths 24 ambazo zote ni fully automated, against 11 za Dar Port ambazo hata vifaa hakuna(ukiacha berth 4 za TICTS). Kina(depth) katika Mombasa Port ni mita 19 wakati wa maji ya kupwa...Dar is Only 14

And So Mombasa port ina uwezo wa kupokea meli kubwa kubwa, both ship turnaround na cargo dwell time kwa Mombasa port ni below 48 hours...and So it is hugely efficient.

Kwa kifupi huwezi kushindana na Mombasa port, aliyekutangulia kakutangulia tu

Hapa hata malori na wagons za TRC za kubeba mizigo ya wateja zinakosekana..

Yan Kenya ni akili kubwa, tutajitutumua tu kwa sababu kuna Kilaza mmoja anahangaikia kura But Ukweli is...Kenya ni Economic Superpower ya EA na wataendelea kuwa hivyo
Mnapinga kila kitu,sasa waandikie the East African kwamba walichoandika si kweli.
 
Dar port dangles cheaper cargo rates than Mombasa
Gazeti la the East African sio la Uhuru au Mzalendo. Ni gazeti la Kenya na wao ndio wametoa taarifa kama awekening call kwa Wakenya wenzao namna gani wapunguze rate.

Mimi ni Mtanzania na najivunia kwa bandari yetu kuja na such a competitive pricing/charges knowing kuna mahali Tanzania inafaidika.

Tanzania ikifanya vema ntasifia, ntaitetea Tanzania, mimi ni Mtanzania na kwa yale yanayofanyika kwa wema kuijenga Tanzania ikiwamo kufungua fursa za biashara, basi ntasimama na Tanzania kwa kuwa ripple effect inagusa private sector ya Tanzania.
Sasa pricing ya port Services siyo kigezo cha efficiency ya bandari..

Efficiency ya bandari inapimwa kwa kuangalia ship turnaround time na cargo dwell time...yan ule uharaka wa meli kutia nanga na kupakua mzigo na uharaka wa mzigo kuondolewa bandarini ni kivutio Kikubwa kwa shippers....sasa kuwa na lower rates halaf mteja anakaa siku 7 meli haijapakua mzigo ina Faida gani? Na hata mzigo ukipakuliwa mteja anakwenda TRC anakosa Wagons za kuondosha mzigo bandarini, hiyo Unajua maana yake nini? Hiyo inazalisha Storage Costs, So inafuta unafuu wote wa bei za kwenye vitabu...na ndo sababu Wafanyabiashara wa Dar wanafuata mzigo Uganda wakati Bandari wanayo hapa, kupitisha mzigo Dar port hutaweza kuuza
 
Mnapinga kila kitu,sasa waandikie the East African kwamba walichoandika si kweli.
Sasa tunapinga nini, kama Mombasa wana berths 24 ambazo ni fully automated na wewe unazo 4 tu tena za Mwekezaji binafsi kusema kwamba utashindana nao si ni Ujinga shehe?
 
Fact; Huyo mtoa mada aache siasa maandazi za chama chake cha utopolo!
Sasa pricing ya port charges siyo kigezo cha efficiency ya bandari..

Efficiency ya bandari inapimwa kwa kuangalia ship turnaround time na cargo dwell time...yan ule uharaka wa meli kutia nanga na kupakua mzigo na uharaka wa mzigo kuondolewa bandarini ni kivutio Kikubwa kwa shippers....sasa kuwa na lower rates halaf mteja anakaa siku 7 meli haijapakua mzigo ina Faida gani? Na hata mzigo ukipakuliwa mteja anakwenda TRC anakosa Wagons za kuondosha mzigo bandarini, hiyo Unajua maana yake nini? Hiyo inazalisha Storage Costs, So inafuta unafuu wote wa bei za kwenye vitabu...na ndo sababu Wafanyabiashara wa Dar wanafuata mzigo Uganda wakati Bandari wanayo hapa, kupitisha mzigo Dar port hutaweza kuuza
 
Sasa pricing ya port Services siyo kigezo cha efficiency ya bandari..

Efficiency ya bandari inapimwa kwa kuangalia ship turnaround time na cargo dwell time...yan ule uharaka wa meli kutia nanga na kupakua mzigo na uharaka wa mzigo kuondolewa bandarini ni kivutio Kikubwa kwa shippers....sasa kuwa na lower rates halaf mteja anakaa siku 7 meli haijapakua mzigo ina Faida gani? Na hata mzigo ukipakuliwa mteja anakwenda TRC anakosa Wagons za kuondosha mzigo bandarini, hiyo Unajua maana yake nini? Hiyo inazalisha Storage Costs, So inafuta unafuu wote wa bei za kwenye vitabu...na ndo sababu Wafanyabiashara wa Dar wanafuata mzigo Uganda wakati Bandari wanayo hapa, kupitisha mzigo Dar port hutaweza kuuza
Hoja kuu ni unafuu wa tozo Bandari ya Dar ukilinganisha na Mombasa na Burundi, Congo, Zambia ni wateja wetu na kwa sehemu Rwanda na Uganda.

Issue ya mchakato wa kutoa kwa haraka containers halina budi kufanyiwa kazi ili huduma zetu ziwe competitive na hoja yako bila shaka itazingatiwa.

Yote katika yote, Tanzania inaposhindana na Kenya, kwa Mtanzania mwenye akili atasimama na Tanzania kwa kuwa tunapata faida ya moja kwa moja kama nchi na kukua kwa private sector.

Nikisifia ufanisi wa Mombasa licha ya tozo kuwa juu, basi uwe ni msingi wa sisi kujifunza kuwa competitive and quick kwenye kutoa mizigo kwenye meli na kupakiza mizigo inayotoka nje ya nchi.
Tanzania ni kubwa kuliko sote na kama kuna chembe ya mafaniko, hicho tutaki-celebrate kwa nguvu huku tukifanyia kazi mapungufu ili mfumo wa biashara ikiwemo ya bandari na shughuli zilizo katika mnyororo wa thamani Tanzania, uwe bora zaidi.
 
Back
Top Bottom