Tanzania, Suriname Back Kenya’s Bid For UN Security Council Seat.

Ndio sababu tunasema ninyi wakenya ni wanyama sio binadamu, lete ushahidi kama Tanzania sio miongoni mwa hizo nchi zilizowapigia kura. Tukiamua kuweka uhasama na Kenya, mnaanza kulalamika na kulialia, tukiamua kuwakaribu yenu na kushirikiana na ninyi, mnaanza nyodo za kijinga.

Ngoja nikuambie ukweli, Kenya na Tanzania baada ya kuingia Magufuli, uhasama ulizidi sana, Magufuli amewafanyia mambo Mengi ya hovyo na mlishindwa kutufanya lolote. Handshake yenu huko ndiyo iliyorudisha maelewano ya Kenya na Tanzania japo hafadhali, hii ya kuwaunga mkono hadharani, ni dalili kwamba mambo kidogo yanarejea.

Kumbukeni kwamba, nchi za SADC, hazina historia nzuri na Kenya, njia pekee ya Kenya kukubalika SADC ni kupitia Tanzania, kitendo cha Tanzania kutangaza hadhari kuiunga mkono Kenya, ni ushindi kwa Kenya, hata msipochaguliwa katika hiyo nafasi, lakini ni mlango wa kukubalika ktk nchi za SADC, mkiendelea na ujinga wenu, tutaanza kupiga kampeni ili uhasama uendelee na ninyi mubaki katika kundi la "Failed states".
 
Nyinyi mlio na historia nzuri na nchi za SADC mbona ndege yenu ilishikwa SA ambayo ni mwanachama? Mbona hamkutumia huo "ushawishi" wenu kuzuia ndege yenu kushikwa na mkulima hadi kesi ikafika mahakami? Mwishowe hadi safari za huko mkakatiza! Narudia tena kwamba wewe ni nyumbu aliyepumbazwa na uzalendo na asiyejua anachosema
 
The fact that mnatoa support yenu dakika za lala salama wakati bara la Afrika ilishapiga kura na kufanya uamuzi wake
Siyo kweli,kwa taarifa yako hizi nchi mbili ni ndugu wa damu haziwezi kufanyiana mambo kama hayo
 
Sasa unataka sheria zisichukue nafasi?, sisi sio kama ninyi ambapo hata MAHAKAMA hamuiheshimu, Miguna Miguna mahakama iliamuru aruhusiwe kuingia nchini lakini mumepinga. Sasa kama mkulima ameenda kushitaki mahakamani ulitaka mahakama isimsikilize kwasababu ya uhusiano kati ya hizi nchi mbili?, South Africa sio " banana Republic kama ilivyo Kenya, stupid mkubwa wewe
 
The Banana Republic ni nyie mnaofanya mambo na mihemko bila kufanya groundwork just to compete with other countries. Hiyo nchi mnayojigamba mnaweza washawishi walishika ndege yenu mwishowe hadi safari za kuelekea huko mkakatiza chini ya mwezi moja baada ya kuanza safari za kule kisha mnakuja na excuses chungu nzima! Mbona basi safari mlikatiza Kama shida ilikuwa ni kesi pekee yake? Na huo ushawishi wenu hiyo yote mbona haya yote inawapata ndani nchi mwanachana wa SADC? The baboon in you is so big!
 
Kuna uhusiano gani ya kuwa na uwezo wa kushawishi na haki ya MTU?, sasa kama kweli huyo mzungu anadai haki yake, ushawishi wetu unataka utumike kuminya haki ya mtu?. Tanzania hatupo hivyo, hatuwezi kutumia ushawishi wetu vibaya, tutaendelea kutumia mifumo halali ya kisheria bila kutumia nguvu ya ushawishi wetu. Jifunzeni kutoka Tanzania, kuna mambo Mengi sana mnapaswa kujifunza, kama alivyowaambia Prof. Kabudi hapo Bomas of Kenya ktk BBI.
 
Hakuna cha kujifunza kutoka kwenu. Ujamaa iliwaponza na kuwanyima maendeleo sasa ni kipi tutajifunza kutoka kwenu? Mbona safari ya kule pia mkakatiza licha ya "ushawishi" wenu?
 
Hakuna cha kujifunza kutoka kwenu. Ujamaa iliwaponza na kuwanyima maendeleo sasa ni kipi tutajifunza kutoka kwenu? Mbona safari ya kule pia mkakatiza licha ya "ushawishi" wenu?
Mambo ya kujifunza toka Tanzania
1)Kupambana na ukabila
2)Kuishi kwa amani
3)Kupunguza pengo kati ya masikini na tajiri
4)Sera za ardhi zenye kuwajali wananchi masikini
5)Kupambana na rushwa & Nepotism
 
Mambo ya kujifunza toka Tanzania
1)Kupambana na ukabila
2)Kuishi kwa amani
3)Kupunguza pengo kati ya masikini na tajiri
4)Sera za ardhi zenye kuwajali wananchi masikini
5)Kupambana na rushwa & Nepotism
Pia tunaweza kujifunza jinsi ya kujikwamua kutoka kwenye tope la LDC. mbona umesahau hiyo? About poverty, hata wewe unajua there are more poor people in Tanzania than Kenya
 
Sasa angalau watashinda.Walilia sana Amina alipokosa kiti AU
Wakenya wamejifunza bada ya kurudisha dhahabu na pesa yetu
 
Pia tunaweza kujifunza jinsi ya kujikwamua kutoka kwenye tope la LDC. mbona umesahau hiyo? About poverty, hata wewe unajua there are more poor people in Tanzania than Kenya
Pia nimesahau kwamba mtajifunza jinsi ya kutoka katika kundi la " Failed states".
 
In spite of the domo domo on this forum, Tanzania’s leadership acknowledges Kenya’s pivotal role in the region and continent as a whole. Thank you Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…