Tanzania Taifa la 14 uzalishaji gesi asilia Duniani

Tanzania Taifa la 14 uzalishaji gesi asilia Duniani

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Gesi_Tanzania.jpeg

Tanzania ni nchi ya 14 duniani kwa uzalishaji wa gesi asilia ikizalisha 0.05% ya gesi yote inayozalishwa duniani. Uzalishaji wa gesi nchini umeongezeka kwa asilimia 9 mwaka 2023 kulinganisha na mwaka 2022. Mataifa yanayoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia ni Marekani, Urusi na Iran.

Kampuni kubwa inayochimba gesi nyingi zaidi nchini ni Orca Energy ikifuatiwa na Maurel & Prom na nafasi ya tatu ikifungwa na Wentworth Resources. Mkoa wa Mtwara unaongoza kuwa na visima vingi vya gesi nchini.

Gas production_Tanzania.jpg

Visima vikubwa nchini ni Songosongo na Mnazi Bay vilivyoanza uzalishaji mwaka 2004 na 2006 mtawalia. Visima vikubwa ambavyo vipo katika hatua ya uendelezaji na vinatarajia kuanza uzalishaji mwaka 2029 ni Zafarani Complex(Exxon Mobil; Equinor), Block 1(PT Medco Daya Abadi Lestari; Shell; Pavilion Energy), Block 4(PT Medco Daya Abadi Lestari; Shell; Pavilion Energy) na Ntorya(ARA Petroleum; Aminex) kitachoanza 2025

Tanzania inatarajia kuanza kuuza kiwango kikubwa cha gesi nje ya nchi baada ya kuingia mkataba na Equinor(Norway) na Shell(Uingereza) ambapo itawezesha ujenzi wa mradi wa LPG wenye thamani wa dola za kimarekani bilioni 30 unaotarajiwa kuanza kazi 2029-2030.

Ujenzi wa mradi wa kiwanda cha LPG ulicheleweshwa na Rais John Magufuli huku mkurugenzi wa Equinor Tanzania akisema walikumbana na vikwazo lakini walisuluhisha na Serikali na anatarajia gesi itatoa fursa kubwa.

Pia, Soma=> Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru
 
Sawa mkuu,
Naomba kuuliza kitu hapo,Hivi hizi gesi tunazotumia nyumbani kupikia hupatikana huko kwenye visima vya songosongo au zenyewe huwa zinatoka wapi,?
 
Tanzania ni nchi ya 14 duniani kwa uzalishaji wa gesi asilia ikizalisha 0.05% ya gesi yote inayozalishwa duniani. Uzalishaji wa gesi nchini umeongezeka kwa asilimia 9 mwaka 2023 kulinganisha na mwaka 2022. Mataifa yanayoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia ni Marekani, Urusi na Iran.

Kampuni kubwa inayochimba gesi nyingi zaidi nchini ni Orca Energy ikifuatiwa na Maurel & Prom na nafasi ya tatu ikifungwa na Wentworth Resources. Mkoa wa Mtwara unaongoza kuwa na visima vingi vya gesi nchini.


Visima vikubwa nchini ni Songosongo na Mnazi Bay vilivyoanza uzalishaji mwaka 2004 na 2006 mtawalia. Visima vikubwa ambavyo vipo katika hatua ya uendelezaji na vinatarajia kuanza uzalishaji mwaka 2029 ni Zafarani Complex(Exxon Mobil; Equinor), Block 1(PT Medco Daya Abadi Lestari; Shell; Pavilion Energy), Block 4(PT Medco Daya Abadi Lestari; Shell; Pavilion Energy) na Ntorya(ARA Petroleum; Aminex) kitachoanza 2025

Tanzania inatarajia kuanza kuuza kiwango kikubwa cha gesi nje ya nchi baada ya kuingia mkataba na Equinor(Norway) na Shell(Uingereza) ambapo itawezesha ujenzi wa mradi wa LPG wenye thamani wa dola za kimarekani bilioni 30 unaotarajiwa kuanza kazi 2029-2030.

Ujenzi wa mradi wa kiwanda cha LPG ulicheleweshwa na Rais John Magufuli huku mkurugenzi wa Equinor Tanzania akisema walikumbana na vikwazo lakini walisuluhisha na Serikali na anatarajia gesi itatoa fursa kubwa.

Pia, Soma=> Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru
Asante Kwa taarifa, swali fikirishi kwanini tunatumia gesi Toka nje nani katuroga na nadhani atakuwa amekufa. Naombeni wimbo wa CCM ni ileile nime umisss sana
 
Safi
 

Attachments

  • raisi_samia_suluhu_hassan_tanzania.jpg
    raisi_samia_suluhu_hassan_tanzania.jpg
    286 KB · Views: 7
Sawa mkuu,
Naomba kuuliza kitu hapo,Hivi hizi gesi tunazotumia nyumbani kupikia hupatikana huko kwenye visima vya songosongo au zenyewe huwa zinatoka wapi,?

Gesi tunayonunua kwenye mitungi ipo kwenye mfumo wa kimiminika ambayo Tanzania bado haijaanza kuzalishwa hivyo tunaagiza nje ya nchi.

Baadhi ya maeneo TPDC imesambaza mabomba majumbani kwa ajili ya gesi ya kupikia, hawa wanaweza kutumia gesi inayozalishwa nchini kupikia.

Kama mtambo wa kuchakata gesi kuwa kimiminika ukiwezekana 2029, tutaanza kutumia gesi yetu kujaza kwenye mitungi na kupikia...
 
Tanzania ni nchi ya 14 duniani kwa uzalishaji wa gesi asilia ikizalisha 0.05% ya gesi yote inayozalishwa duniani. Uzalishaji wa gesi nchini umeongezeka kwa asilimia 9 mwaka 2023 kulinganisha na mwaka 2022. Mataifa yanayoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia ni Marekani, Urusi na Iran.

Kampuni kubwa inayochimba gesi nyingi zaidi nchini ni Orca Energy ikifuatiwa na Maurel & Prom na nafasi ya tatu ikifungwa na Wentworth Resources. Mkoa wa Mtwara unaongoza kuwa na visima vingi vya gesi nchini.


Visima vikubwa nchini ni Songosongo na Mnazi Bay vilivyoanza uzalishaji mwaka 2004 na 2006 mtawalia. Visima vikubwa ambavyo vipo katika hatua ya uendelezaji na vinatarajia kuanza uzalishaji mwaka 2029 ni Zafarani Complex(Exxon Mobil; Equinor), Block 1(PT Medco Daya Abadi Lestari; Shell; Pavilion Energy), Block 4(PT Medco Daya Abadi Lestari; Shell; Pavilion Energy) na Ntorya(ARA Petroleum; Aminex) kitachoanza 2025

Tanzania inatarajia kuanza kuuza kiwango kikubwa cha gesi nje ya nchi baada ya kuingia mkataba na Equinor(Norway) na Shell(Uingereza) ambapo itawezesha ujenzi wa mradi wa LPG wenye thamani wa dola za kimarekani bilioni 30 unaotarajiwa kuanza kazi 2029-2030.

Ujenzi wa mradi wa kiwanda cha LPG ulicheleweshwa na Rais John Magufuli huku mkurugenzi wa Equinor Tanzania akisema walikumbana na vikwazo lakini walisuluhisha na Serikali na anatarajia gesi itatoa fursa kubwa.

Pia, Soma=> Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru
Huo 2004 utapendeza ukisomeka 2024, pongezi kwa mama na Lucas Kiroboto.
 
Asante Kwa taarifa, swali fikirishi kwanini tunatumia gesi Toka nje nani katuroga na nadhani atakuwa amekufa. Naombeni wimbo wa CCM ni ileile nime umisss sana
Kwasababu bado gesi yetu haijawekwa kwenye kimiminika lakini pamoja na hayo bado sera yetu haijatilia mkazo kutumia nishati inayozalishwa nchini.

Mfano kuweka tozo kwenye gesi zinazojazwa kwenye magari inadunisha juhudi za kupunguza matumizi ya mafuta yanayoagizwa kutoka nje ya nchi kwa kupandisha bei ya gesi asilia kupitia tozo.
 
Kwasababu bado gesi yetu haijawekwa kwenye kimiminika lakini pamoja na hayo bado sera yetu haijatilia mkazo kutumia nishati inayozalishwa nchini.

Mfano kuweka tozo kwenye gesi zinazojazwa kwenye magari inadunisha juhudi za kupunguza matumizi ya mafuta yanayoagizwa kutoka nje ya nchi kwa kupandisha bei ya gesi asilia kupitia tozo.
Hapo tatizo siyo serikali ni wewe na mimi tuonyeshe njia Kwa suluhisho, soma kuhusu unworking government machineries and ostracism
 
Mfano wa suluhisho la kuonesha?
Mfano mdogo asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanamtegemea mjasiriamali ambapo asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzinguka lakini hii asilimia 20 ina nguvu hata kuuwa biashara endapa jamii zetu zitaendelea kufumba macho ama kuziba masikio Kwa kuto buni mbinu za kukabiliana na yasiyoyatarajiwa, (uncertainty)
 
Sawa mkuu,
Naomba kuuliza kitu hapo,Hivi hizi gesi tunazotumia nyumbani kupikia hupatikana huko kwenye visima vya songosongo au zenyewe huwa zinatoka wapi,?
Hapana tunayotumia inatoka nje hiki Ndiyo kipimo tosha cha mafuvu,(akili), yetu
 

Tanzania ni nchi ya 14 duniani kwa uzalishaji wa gesi asilia ikizalisha 0.05% ya gesi yote inayozalishwa duniani. Uzalishaji wa gesi nchini umeongezeka kwa asilimia 9 mwaka 2023 kulinganisha na mwaka 2022. Mataifa yanayoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia ni Marekani, Urusi na Iran.

Kampuni kubwa inayochimba gesi nyingi zaidi nchini ni Orca Energy ikifuatiwa na Maurel & Prom na nafasi ya tatu ikifungwa na Wentworth Resources. Mkoa wa Mtwara unaongoza kuwa na visima vingi vya gesi nchini.


Visima vikubwa nchini ni Songosongo na Mnazi Bay vilivyoanza uzalishaji mwaka 2004 na 2006 mtawalia. Visima vikubwa ambavyo vipo katika hatua ya uendelezaji na vinatarajia kuanza uzalishaji mwaka 2029 ni Zafarani Complex(Exxon Mobil; Equinor), Block 1(PT Medco Daya Abadi Lestari; Shell; Pavilion Energy), Block 4(PT Medco Daya Abadi Lestari; Shell; Pavilion Energy) na Ntorya(ARA Petroleum; Aminex) kitachoanza 2025

Tanzania inatarajia kuanza kuuza kiwango kikubwa cha gesi nje ya nchi baada ya kuingia mkataba na Equinor(Norway) na Shell(Uingereza) ambapo itawezesha ujenzi wa mradi wa LPG wenye thamani wa dola za kimarekani bilioni 30 unaotarajiwa kuanza kazi 2029-2030.

Ujenzi wa mradi wa kiwanda cha LPG ulicheleweshwa na Rais John Magufuli huku mkurugenzi wa Equinor Tanzania akisema walikumbana na vikwazo lakini walisuluhisha na Serikali na anatarajia gesi itatoa fursa kubwa.

Pia, Soma=> Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru
AGIZA GESI YA KUPIKIA HAPOHAPO ULIPO USIONDOKE KAA HAPOHAPO MTAANI KWAKO
Gesi zote zipo: Oryx Gas, Taifa Gas, Manjis Gas, O-Gas, Total Gas, Mihan Gas, na Puma Gas: zote zinapatikana hapo
 
Back
Top Bottom