Tanzania taifa la mapenzi,watu wanawaza mapenzi mda wote.

kweli jina linaelezea
usipowaza ngono una ugonjwa
tena hatari sana.

wewe mbili hatusemi mtu asiwaze ngono hapana lakini muwe mnapita na majukwaa mengine, msiendeshwe na ngono
 


Mzee kwa mtazamo wako unataka kila mtu akiwa mwanachama humu aende kwenye jukwaa la siasa tu?

Kuna watu hapa wamevutika na jukwaa la MMU;wengine na JLW tu;wengine na michezo tu n.k.

JF ina majukwaa mengi ambayo mwanachama anaruhusiwa kuyavinjari huko ili mradi hasivunje sheria. Sasa ukilalama kwamba kuna wengine wanashinda MMU tu,unakua unaingilia uhuru wa watu katika kutumia JF.

By the way,umesema tuzungumzie mustakabali wa watoto wetu,sawa. Je,bila kuwaza mapenzi na kungonoka,hao watoto watapatikanaje?
 
matola ni kweli kwenye siasa kuna watu wanaandika vitu sivyo na kwanini kwasababu ni siasa tofauti na mmu kwanza huhitaji kuingia darasani kama jukwaa la technology...je maana hawa watu wa jukwaa la mmu aka kugonoka hawanamchango kwenye majukwaa mengine au wamejiendekeza tu
 
mkuu nzi hakuna mtu anaelazimisha watu wote waende jukwaa la siasa..basi waende hata majukwa mengine lakini siyo 24/7 yeye ni ngono tu hivi haya ndiyo matatizo ya msingi ya mtanzania
 

hapo kwenye
1.hakuna sehemu nimesema jukwaa la siasa ndio bora zaidi kuliko majukwaa yote,ila nafikiri mwenyewe umekubali lile jukwaa ni babu kubwa,kuna kipindi linatikisa nchi kabisa..umesema wachangiaji wa kule ni mambumbu na wanafata maelekezo ya mabwana zao,vp we ujawai changia kule mkuu?
Kwenye
3.we ndio umepotoka,nionyeshe post za urafiki umu.
Kwenye
4.feelings zipo za kutosha hapa usiwe na wasi,alafu mkuu mbona umekomaa na kuliponda jukwaa la siasa linakupa stress sana?au unacomplicate maisha tu.
Kwenye
5.mimi sijawai ata kuingia ilo jukwaa la wakubwa,mi sio type ya wale wanaoshinda umu kujifaliji kutokana na upweke wao,yani kuna mda unajiuliza uyu mchangiaji mzuri umu anapati wapi mda wa kupafom anachochangia ikiwa mda wote yuko bize na keyboard!
 
Ukiwa mpumbavu huwezi jifanya sio mpumbavu.

matusi ya nini tena MAMA?kwa nini unashindwa kujiheshimu lakini ukiwa kama mwanamke?utajifunza lini kuongea na watu waungwana na wanaojiheshimu kama mimi!?
Kwa mtindo huu utaishia kujifariji umu mwenyewe na itakula kwako maisha yako yote.
 
mkuu nzi hakuna mtu anaelazimisha watu wote waende jukwaa la siasa..basi waende hata majukwa mengine lakini siyo 24/7 yeye ni ngono tu hivi haya ndiyo matatizo ya msingi ya mtanzania
Nyie ni walinzi?Maana mnaonekana nyendo za kila mtu mnazijua. Nyie hua mnatoa michango yenu saa ngapi na kuangalia kina fulani wako wapi saa ngapi?
Mtu kwenda jukwaa lingine lazima aandike?Watu wengi (and I know this for a fact) wanatembelea majukwaa karibu yote ila wanasoma tu, wanajifunza chakujifunza kisha wanapita sio lazima nao wachangie. Tofauti na kina nyie mnaodhani kuchangia hata kama itakua pumba ndio kila kitu.

Acheni kulazimisha watu wafanye vile mtakavyo wakati hamchangii kuwanunulia internet wanayotumia hapa. Walijiunga kwa malengo binafsi na watafanya yale yanayoendana kwa malengo yao na sio yenu.GET USED TO IT!!
 
matusi ya nini tena MAMA?kwa nini unashindwa kujiheshimu lakini ukiwa kama mwanamke?utajifunza lini kuongea na watu waungwana na wanaojiheshimu kama mimi!?
Kwa mtindo huu utaishia kujifariji umu mwenyewe na itakula kwako maisha yako yote.
Upumbavu ni tusi?Wanshangaza!!
 
Labda wenzetu wanafanya mapenzi ya jinsia moja sasa wanahisi kutengwa, maana topic hizo hapa hazina nafasi thats way u never know where is complain coming from!!

uko umefika mbali sana mkuu,kitanuka sasa ivi.shauri yako!
 
Smile
30th January 2012 14:19
#1
JF Premium Member Array


Join Date : 18th July 2011
Location : paradise
Posts : 3,984
Rep Power : 3712


[h=2]
moyo wangu una huzuni kiasi cha kufa[/h]



Dear mother,sweet mother please fight for me
Dear friends mama yangu anaumwa saaaaaana please muombeen
i.
 
kama wanaokuitaga mpumbavu wanakwambia ni sifa nzuri..basi kachek kamusi ila sio ya Kimachame.

Sijawahi kuitwa. . najijua sio kwahiyo maana hainisumbui.
Kazi kwako wewe mhusika.
 
Sijawahi kuitwa. . najijua sio kwahiyo maana hainisumbui.
Kazi kwako wewe mhusika.

we Mmachame una matatizo gani??nini kinakusumbua Mama? unaonekana kisaikolojia hauko sawa kabisa.
 

moja kati ya buku..
 
Wale wale. . .wakikosa hoja basi "WANAKUJUA KULIKO UJIJUAVYO".

mtu anayekwambia ukweri inatakiwa umshukuru sana..yani ukipitia michango yako hapa Jf unaonekana kama mtu aliyekata tamaa,na mpweke sana matokeo yake ni kujaribu kuziba ilo gap bila mafanikio..tafuta mshauri maalum atakusaidia au tafuta PUMZIKO.
 
mtu anayekwambia ukweri inatakiwa umshukuru sana..yani ukipitia michango yako hapa Jf unaonekana kama mtu aliyekata tamaa,na mpweke sana matokeo yake ni kujaribu kuziba ilo gap bila mafanikio..tafuta mshauri maalum atakusaidia au tafuta PUMZIKO.

mh nitarudi
 
mkuu nzi hakuna mtu anaelazimisha watu wote waende jukwaa la siasa..basi waende hata majukwaa mengine lakini siyo 24/7 yeye ni ngono tu hivi haya ndiyo matatizo ya msingi ya mtanzania


Mzee kwa kuwaambia kwamba waende majukwaa mengine,hauoni kama unawalazimisha?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…