Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Nawe MR. sitaki mapenzi kimekuleta nini huku ?Hii nchi haitokuja kuendelea kamwe ebu ona wananchi wake wanawaza mapenzi mda wote....maofisini watu wanawaza mapenzi,majumbani,vijiweni,kwenye madaladala mijitu imekaa kimya utazani inatafakari ya maana kumbe inawaza ngono tu..
Ebu ona na umu JF watu wanajazana jukwaa la mapenzi,wengine sijawai kuwaona ata majukwaa mengine kama Intelligence,Elimu,Business na Lugha yani mtu kujiandikisha tu anakimbilia jukwaa la ngono.
Hivi watanzania tulilogwa?mbona tunapenda sana chini!
Ushauri wangu..
Jamani tujitokeze ata kwenye majukwaa mengine muone wanaume tunavyoshusha nondo,maana umu naona sura zile zile azimuv ata kuchungulia sehemu zengine kwa jinsi damu zao inavyochemka ngono..
Mzee kwa mtazamo wako unataka kila mtu akiwa mwanachama humu aende kwenye jukwaa la siasa tu?
Kuna watu hapa wamevutika na jukwaa la MMU;wengine na JLW tu;wengine na michezo tu n.k.
JF ina majukwaa mengi ambayo mwanachama anaruhusiwa kuyavinjari huko ili mradi hasivunje sheria. Sasa ukilalama kwamba kuna wengine wanashinda MMU tu,unakua unaingilia uhuru wa watu katika kutumia JF.
By the way,umesema tuzungumzie mustakabali wa watoto wetu,sawa. Je,bila kuwaza mapenzi na kungonoka,hao watoto watapatikanaje?
Hii nchi haitokuja kuendelea kamwe ebu ona wananchi wake wanawaza mapenzi mda wote....maofisini watu wanawaza mapenzi,majumbani,vijiweni,kwenye madaladala mijitu imekaa kimya utazani inatafakari ya maana kumbe inawaza ngono tu..
Ebu ona na umu JF watu wanajazana jukwaa la mapenzi,wengine sijawai kuwaona ata majukwaa mengine kama Intelligence,Elimu,Business na Lugha yani mtu kujiandikisha tu anakimbilia jukwaa la ngono.
Hivi watanzania tulilogwa?mbona tunapenda sana chini!
Ushauri wangu..
Jamani tujitokeze ata kwenye majukwaa mengine muone wanaume tunavyoshusha nondo,maana umu naona sura zile zile azimuv ata kuchungulia sehemu zengine kwa jinsi damu zao inavyochemka ngono..
Nyie ni walinzi?Maana mnaonekana nyendo za kila mtu mnazijua. Nyie hua mnatoa michango yenu saa ngapi na kuangalia kina fulani wako wapi saa ngapi?
Mtu kwenda jukwaa lingine lazima aandike?Watu wengi (and I know this for a fact) wanatembelea majukwaa karibu yote ila wanasoma tu, wanajifunza chakujifunza kisha wanapita sio lazima nao wachangie. Tofauti na kina nyie mnaodhani kuchangia hata kama itakua pumba ndio kila kitu.
Acheni kulazimisha watu wafanye vile mtakavyo wakati hamchangii kuwanunulia internet wanayotumia hapa. Walijiunga kwa malengo binafsi na watafanya yale yanayoendana kwa malengo yao na sio yenu.GET USED TO IT!!
Na kwa nini walibadili jina la jukwaa kuliita la ngono? Kwanini?
Wala hatuongeagi masuala ya ngono,mfano kuna wanaume wana maumbile marefu au wanawake wana maumbile yasiyoridhisha kwa hali fulani.... Hakuna...
Kuna watu wana matatizo,sio kichwani peke yake,bali athari za matatizo binafsi ya kifamilia..