This is veeery serious!!
Manpowalalmikia marefarii na viongozi wa michezo kwa u-Simba na u- Yanga mnakuwa hamuwatendei haki!!
Duniani watu wanajua Tanzania timu ni mbili tu
This is veeery serious!!
Manpowalalmikia marefarii na viongozi wa michezo kwa u-Simba na u- Yanga mnakuwa hamuwatendei haki!!
Duniani watu wanajua Tanzania timu ni mbili tu
MHESHIMIWA Semesozi,
Sikuamini ulicho andika.
Nikaingia kwenye Website.
Nimegundua umeangalia kwa haraka bila kujiuliza lengo la website hiyo Kuorodhesha SIMBA na YANGA tu.
Kutochunguza kwa makini kunakufanya uwe muongo, kwamba ETI DUNIANI WANAJUA KWAMBA TZ, TIMU NI MBILI TU.
NIKUSAIDIE KIDOGO,
Katika WEBSITE hiyo, wanafanya comparison, kwa timu zilizoshiriki WC QUALIFYING na INTERNATIONAL FRIENDLY MATCHES kwa mwaka 2007 na 2008.