Tanzania to switch to natural gas-powered buses

Huu mradi ni mzuri sana ila nashangaa umekufaje kibudu! TPDC wapunguze conversion cost ili wengi waweze ku afford.
 
Yep. Mzima kabisa Nalendwa and you? Naona nilichelewa na tayari ulisha maliza shughuli ya kutafsiri. Ngoja nirudi nyuma kidogo nikupunguzie marks. [emoji1]
 
Taratibu tu Ushimen. Tuta ki master tu na sisi.
Haki wewe! [emoji16][emoji23][emoji23]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Uhuru amesomea nini?
Hapa tunazungumzia Magufuli, hatumzungumzii Uhuru. Hivi mbona kila ninapotaja Magufuli, wengine wenu mnataja Uhuru? Kwani Uhuru ni jina nyingine ya Magufuli na mimi sijui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…