Tanzania tops East Africa in poverty.

Sasa hapo cha kushangilia ni kipi? Mimi naona wote masikini tu!
 
You're the poorest, you should know that.


Hizo ni statistics tu, lkn reality hakuna tofauti yoyote, mimi huwa Kenya mara kwa mara, hata juzi kati nilikuwa Muranga, sikuona hiyo tofauti unayoisema, matatizo ni yale yale chakula, afya, maji, ajira, ulevi, makazi duni, n.k. hivyo hakuna tofauti yoyote labda ukija kwa ma elite Muzungu, Muhindi wa Kenya wako paradiso lkn kwa Wakenya hakuna tofauti yoyote ile!
 
Numbers don't lie.
 
Unaelewa choccote kuhusu statistics? Labda tuanzie hapo!
Siasa pelekea ********, If you want us to discuss statistics we will only do the bio one because this falls under it.
 
Mafeelings achia maslay queens and kings.
Ah ah ah we Jamal unamajibu shit...ok kama swala ni statistics..weye unaangukia Kwe kundi gani? N.a. kuna wakenya wangapi na watanzania wangapi
 
Ah ah ah we Jamal unamajibu shit...ok kama swala ni statistics..weye unaangukia Kwe kundi gani? N.a. kuna wakenya wangapi na watanzania wangapi
Soma kule juu.
 
Are those Kenyan?
European who live in Kenya thats what means Kenyan.
Those Luo and kikuyu from machakos and kijabe
Living below$0000.1.
Do your research
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…