Tanzania Tourism strategy in Asia

Status
Not open for further replies.

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Tanzani is setting tourism strategies in Asia. Tanzania kwa sasa inatumia mbinu za Kamikaze kutangaza utalii wake.

Ndege yetu ya Dreamliner itaanza safari zake mwisho wa mwezi huu kwenda Mumbai India.
India ni nchi ya pili duniani kuwa na population kubwa. India ipo na idadi ya watu zaidi ya 1,200,000,000.
Kisha mwanzoni mwa mwaka kesho route ya kwenda guangzhou china kupitia bangkok Thailand.

Sasa matangazo yameanza kwa nguvu:
 
Wao wanauza vikapuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tourism in India
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…