Tanzania tuamue kubaki na fani ya Ualimu na Udaktari

Tanzania tuamue kubaki na fani ya Ualimu na Udaktari

namriny

Senior Member
Joined
Mar 21, 2020
Posts
172
Reaction score
186
Habari,

Yaani kitu ambacho nimekiona kwa nchi yetu ya Tanzania, ajira zikitangazwa, utasikia tunaongeza walimu na wataalamu wa afya, ni mara nyingi sana matamko yanakuwa hivi.

Sasa ina maana hawajui kama Tanzania kuna watu waliosomea fani mbalimbali, na je, wao hawana haki ya kuajiriwa na serikali.

Na kama ni ivyo basi vijana wanasoma sasa waelekezwe katika fani hizo mbili maana ndio kipao mbele cha taifa.
 
Una hoja murua kabisa mkuu.

Mimi nadhani ndizo fani zinazohitaji watumishi wengi zaidi, sasa kinachofanyika ni FAIDA YA KISIASA kwa viongozi wetu kuonesha chama tawala kinatimiza ahadi. Fani zingine pia huajiri lakini si kwa kundi kubwa kwa mpigo kama ualimu hivyo fani zingine hazina soko kisiasa.
 
Habari,

Yaani kitu ambacho nimekiona kwa nchi yetu ya Tanzania, ajira zikitangazwa, utasikia tunaongeza walimu na wataalamu wa afya, ni mara nyingi sana matamko yanakuwa hivi.

Sasa ina maana hawajui kama Tanzania kuna watu waliosomea fani mbalimbali, na je, wao hawana haki ya kuajiriwa na serikali.

Na kama ni ivyo basi vijana wanasoma sasa waelekezwe katika fani hizo mbili maana ndio kipao mbele cha taifa.
TANZANIA TUTAFIKA KWENYE MAENDELEO MAZURI BAAADAE HUKOOO
 
Habari,

Yaani kitu ambacho nimekiona kwa nchi yetu ya Tanzania, ajira zikitangazwa, utasikia tunaongeza walimu na wataalamu wa afya, ni mara nyingi sana matamko yanakuwa hivi.

Sasa ina maana hawajui kama Tanzania kuna watu waliosomea fani mbalimbali, na je, wao hawana haki ya kuajiriwa na serikali.

Na kama ni ivyo basi vijana wanasoma sasa waelekezwe katika fani hizo mbili maana ndio kipao mbele cha taifa.
Haujariwi ili ulipwe mshahara unaajiriwa kuziba "gap" flani kwenye kutatua changamoto,the higher the "challenge"unayopaswa kutatua the more the return.....the same apply to business......ukiona mtu biashara yake anauza sana bidhaa hata kama ni "heroin",jua kuna "gap"analiziba kwa drugs addicts
 
Afya soma MD or CO ukiferi sana soma NURSING hapo utafaidika matamko ya kisiasa, ukisoma sijui famas, lab, Radiology, dentist, n.k utaishia kupishana nao.
 
Back
Top Bottom