Ndio maajabu hayo ndugu yangu,msiba mzitoAkili za KiCCM hizi
Yaani unataka tuwekeze kwenye maiti na wafu badala ya kuwashawishi wajenge viwanda kwetu?
Uchawi wa kihindi naujua vizuri Sana majivu ya muhindi akifa Tanzania hupelekwa India kumwagwa kwenye mto mtakatifu ila Kuna mhindi wao mchawi wa kufa mtu anaitwa Mahatma Gandhi majivu yake akiagiza yamwagwe chanzo Cha mto nile pale Uganda ili wahindi washike biashara na Uchumi wa Afrika mashariki.Nenda Uganda pale mto nile unaanzia majivu ya mahatima Gandhi yalimwagwa pale majivu Mengine yakamwagwa Tanzania lake Victoria pale Mwanza ili wahindi washike Uchumi wa Tanzania Yalimwagwa pale karibu na kivuko pale ilipo ofisi ya CCM mkoa wa Mwanza.Na wahindi wakaweka sanamu ya Mahatma Gandi ikitazama ziwa pale ghandi hall Mwanza.Mahatma Ghandhi alisharoga Tanzania na kuiweka chini ya wahindi.Nabii wangu ninakosali ndio aliniambiaKama ni hivyo mbona tunge anza na wahindi maana hiyo ndiyo mila yao
Hizo ni ngano tu kama zingine kama tukiamua kuwaondoa hakuna kitu kitakacho tokea hapo ni mambo ya imani tu wala hakuna kitu chochote cha ajabuUchawi wa kihindi naujua vizuri Sana majivu ya muhindi akifa Tanzania hupelekwa India kumwagwa kwenye mto mtakatifu ila Kuna mhindi wao mchawi wa kufa mtu anaitwa Mahatma Gandhi majivu yake akiagiza yamwagwe chanzo Cha mto nile pale Uganda ili wahindi washike biashara na Uchumi wa Afrika mashariki.Nenda Uganda pale mto nile unaanzia majivu ya mahatima Gandhi yalimwagwa pale majivu Mengine yakamwagwa Tanzania lake Victoria pale Mwanza ili wahindi washike Uchumi wa Tanzania Yalimwagwa pale karibu na kivuko pale ilipo ofisi ya CCM mkoa wa Mwanza.Na wahindi wakaweka sanamu ya Mahatma Gandi ikitazama ziwa pale ghandi hall Mwanza.Mahatma Ghandhi alisharoga Tanzania na kuiweka chini ya wahindi.Nabii wangu ninakosali ndio aliniambia
we unaumwa kweli mbna usemi kungeuzwa kijijini kwenu wakaja kuzika maiti zaoHIVI TUKIWAUZIA KISIWA CHA MAFIA KWA DOLA AMBAZO TUTALIPA MADENI YETU YOOTE NA TUKABAKIWA NA NYINGINE NYINGI KUNA UBAYA GANI?
Kwa mara ya kwanza tangu nikufahamu umeandika kitu cha maana.. Naomba link nifanye mawasiliano... Nina ujuzi na marehemu na mila zao hasa watu wa hukoJapan Ni nchi iliyoendelea Lakini maendeleo Yana gharama kubwa pia. Mfano mtu akifa Japan kutokana na ukosefu wa ardhi eneo la kuchimba kaburi lazima ununue na linauzwa kwa dola za marekani elfu 40 sawa na shilingi za kitanzania milioni 80 Kama huna maiti ya mtu wako inabidi ichomwe Moto .Kasheshe inakuja majivu ya maiti yako utapeleka wapi sababu pa kuyatupa au kuhifadhi lazima ulipie Sio chini ya milioni nne ukibahatika kupata kampuni ya kuyabeba au dini yao.NASA wanaorusha vyombo angani wa marekani wamegundua fursa .Kwa dola elfu sita sawa na shilingi milioni 12 wanabeba majivu ya Marehemu mjapan kwenye vyombo vyao vya kwenda anga za juu na kuyatupa huko.Na wanatengeneza hela hasa.Je serikali yetu haiwezi omba tenda ya kubeba majivu na kuja kuyazika Tanzania wakatulipa? Hii Naona fursa nzuri ya kibiashara.Serikali iangalie Hilo na private sekta pia
Ulishawahi enda japan ukakaa? Au umesikia story kwa watu desin yako ambao wao kila kitu ni negative?Acha uongo chief....tena huko kwenye treni kuna ubaguzi was hatari, ukiwa mtu mweusi hta kwenye siti hawakai na wewe!
Chief cjawahi kufika Japan ila nimeangalia Chanel YouTube inaitwa black in Japan watu wote waliohojiwa wanalalamika hali ya ubaguzi ncbini japanUlishawahi enda japan ukakaa? Au umesikia story kwa watu desin yako ambao wao kila kitu ni negative?
Ukiona mtu hakai pembeni yako we unafikiti ubaguzi moja kwa moja? Sasa sikia nikwambia kuhusu culture ya wajapan ilivyo, wao ni watu shy sana, na mara nyingi wakiona siti iko empty wanaogopa kukaa hata kama pembeni ya hiyo siti wamekaa wajapan peke yake, sio kwamba wanabagua bali wanaogopa, sasa hii inawatokea wajapan kila siku ila siku ikimtokea mtu mweusi tayari anakimbilia kutangaza kua wamebagua kumbe wapi, kila wiki nikipanda bus au train nikiona seat empty mara 9 kati ya 10 watu hua wanaiacha nikifika naichukua tu, hata kama pembeni wamekaa wajapan peke yake.
Sasa wewe endelea na kuamini upuuzi unaoujua huku ukisafiri unaishia Kenya. Sisemi hamna ubaguzi 100%. Dunia nzima upo ila sio kama mnavyofikiri, unaweza kaa nje miaka hata 10 usibaguliwe hata mara moja kama mimi ambavyo sijawahi baguliwa pamoja na kukaa nje miaka yote
Mdogo hiii sijui in ya sasa ngapiJapan Ni nchi iliyoendelea Lakini maendeleo Yana gharama kubwa pia.
Mfano mtu akifa Japan kutokana na ukosefu wa ardhi eneo la kuchimba kaburi lazima ununue na linauzwa kwa dola za marekani elfu 40 sawa na shilingi za kitanzania milioni 80 Kama huna maiti ya mtu wako inabidi ichomwe Moto .Kasheshe inakuja majivu ya maiti yako utapeleka wapi sababu pa kuyatupa au kuhifadhi lazima ulipie Sio chini ya milioni nne ukibahatika kupata kampuni ya kuyabeba au dini yao.
NASA wanaorusha vyombo angani wa marekani wamegundua fursa .Kwa dola elfu sita sawa na shilingi milioni 12 wanabeba majivu ya Marehemu mjapan kwenye vyombo vyao vya kwenda anga za juu na kuyatupa huko.Na wanatengeneza hela hasa.Je serikali yetu haiwezi omba tenda ya kubeba majivu na kuja kuyazika Tanzania wakatulipa?
Hii Naona fursa nzuri ya kibiashara.Serikali iangalie Hilo na private sekta pia