Tuwekeze kwa vitendo kwenye soka la vijana, Tuhakikishe makocha wetu wazawa wanapata mafunzo ya kutosha nje ya nchi, tuajiri walimu walimu wazuri wenye sifa stahili kwenye timu zetu za Taifa, na mwisho kabisa tutenganishe michezo na siasa.
Nb: Mimi si mfuasi wa Amunike! Hata akiondolewa leo,sitamsikitikia kwa lolote maana falsafa zake sijawahi kuzielewa.