Nikiwa Kama mmoja wa jukwaa hili miaka mitano na kuendelea ya Tanzania tuitakayo hakuna Tena mtoto atakaezuiwa kufanya anachokipenda kulingana na mipaka na maadili ya jamii hii Ni kubadilisha fikra za wazazi,walezi na wanajamii ili kuleta uhalisia wa Tanzania huru.