Tanzania tujifunze hili somo la vita ya Ukraine na Urusi: vita vyaweza kuuza nchi

Tanzania tujifunze hili somo la vita ya Ukraine na Urusi: vita vyaweza kuuza nchi

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1740825152850.png

Kama kuna kitu nimejifunza kutokana na kurushiana maneno kati ya Trump na rais wa Marekani na Zelensky wa Ukraine, ni kwamba vita vinaweza kusanbabisha mtu kuuza nchi yake.

Marekani imetumia pesa nyingi kumsaidia Ukraine kupambana na Urusi.
Pesa hizo ziko kwa mfumo wa vifaa vya kijeshi na fedha za kujiendesha nchi ya Ukrain.
Trump ameingia madarakani naye hataki kabisa vita, na anataka Ukraine ianze kulipa fedha ilizoikopesha kwa kuila kwa njia ya madini yanayopatikana nchini Ukraine.

Trumpa anajua kwamba Ukraine haina pesa ya kurudisha, basi ikaona Zelensky alipe kwa kumpatia hako ya kumiliki 50% ya vitalu vyote vya madini muhimu hadi deni hilo likamilike.

Masikini Zelensky, jana alikuwa kama mtoto mdogo akikaripiwa na Trump na Makamu wa Rais JD Vance, wakati yeye akiwaya waya mbele ya dunia nzima.

FUNZO KWA TANZANIA
Tusije ingia vita visivyotuhusu, maana mtaji wetu wa madini kuna watu wanaukodoleamacho. Katika mgogoro wowote kuna mataifa yapo ytayari kukupa chochote alimradi wanajua utashindwa kulipa .
Na ukishindwa kulipa macho ya wakopeshaji yataelekea Buzwagi!
 
Zelensky alikuwa mpole?? Umeangalia wapi hiyo taarifa yako. Trump na JD walitegemea jamaa atakaa kimya na kusaini mkataba. Zelensky akawapa makavu live mbele ya TV.

Na mfumo wa Marekani uko vizuri sana, Yaani maseneta wawili tu wa chama cha Trump wakiungana na wale wa Democrats wanaweza kumlazimisha rais apeleke msaada Ukraine au hawapitishi bajeti.

Demokrasia ina raha yake.
 
Zelensky alikuwa mpole?? Umeangalia wapi hiyo taarifa yako. Trump na JD walitegemea jamaa atakaa kimya na kusaini mkataba. Zelensky akawapa makavu live mbele ya TV.

Na mfumo wa Marekani uko vizuri sana, Yaani maseneta wawili tu wa chama cha Trump wakiungana na wale wa Democrats wanaweza kumlazimisha rais apeleke msaada Ukraine au hawapitishi bajeti.

Demokrasia ina raha yake.

Hilo la Wamarekani kutopitisha Bejeti kwa Kigezo eti mpaka Rais aliyepo madarakani aisaidie inchi fulani Haiwezi kutokea!!!
Na mtu anayetegemea vya Kupewa ni MJINGA MKUBWA!

Inaingia kweli Akilini kwamba, Bejeti ya walipa Kodi wa Marekani Ishindwe kupitishwa kuwahudumia raia wa Marekani eti kisa mpaka Ukraine wapewe vya BURE!

Hivi watu wengine tuna akili za namna gani jamani? Akili za namna hii ndiyo akili za kwendea Sokoni tu!!!! Ujinga sana!
 
Zelensky alikuwa mpole?? Umeangalia wapi hiyo taarifa yako. Trump na JD walitegemea jamaa atakaa kimya na kusaini mkataba. Zelensky akawapa makavu live mbele ya TV.

Na mfumo wa Marekani uko vizuri sana, Yaani maseneta wawili tu wa chama cha Trump wakiungana na wale wa Democrats wanaweza kumlazimisha rais apeleke msaada Ukraine au hawapitishi bajeti.

Demokrasia ina raha yake.
Huyo Zelensky asipokubaliana na Trump, he is finished, kaput.
 

Kama kuna kitu nimejifunza kutokana na kurushiana maneno kati ya Trump na rais wa Marekani na Zelensky wa Ukraine, ni kwamba vita vinaweza kusanbabisha mtu kuuza nchi yake.

Marekani imetumia pesa nyingi kumsaidia Ukraine kupambana na Urusi.
Pesa hizo ziko kwa mfumo wa vifaa vya kijeshi na fedha za kujiendesha nchi ya Ukrain.
Trump ameingia madarakani naye hataki kabisa vita, na anataka Ukraine ianze kulipa fedha ilizoikopesha kwa kuila kwa njia ya madini yanayopatikana nchini Ukraine.

Trumpa anajua kwamba Ukraine haina pesa ya kurudisha, basi ikaona Zelensky alipe kwa kumpatia hako ya kumiliki 50% ya vitalu vyote vya madini muhimu hadi deni hilo likamilike.

Masikini Zelensky, jana alikuwa kama mtoto mdogo akikaripiwa na Trump na Makamu wa Rais JD Vance, wakati yeye akiwaya waya mbele ya dunia nzima.

FUNZO KWA TANZANIA
Tusije ingia vita visivyotuhusu, maana mtaji wetu wa madini kuna watu wanaukodoleamacho. Katika mgogoro wowote kuna mataifa yapo ytayari kukupa chochote alimradi wanajua utashindwa kulipa .
Na ukishindwa kulipa macho ya wakopeshaji yataelekea Buzwagi!
Siyo vita tu hata kuongozwa na raia Feki nchi inauzwa... kama ilivyo kwa Tanzania chini ya raia feki samia bushiri na genge lake la rostam azizi
 
Hilo la Wamarekani kutopitisha Bejeti kwa Kigezo eti mpaka Rais aliyepo madarakani aisaidie inchi fulani Haiwezi kutokea!!!
Na mtu anayetegemea vya Kupewa ni MJINGA MKUBWA!

Inaingia kweli Akilini kwamba, Bejeti ya walipa Kodi wa Marekani Ishindwe kupitishwa kuwahudumia raia wa Marekani eti kisa mpaka Ukraine wapewe vya BURE!

Hivi watu wengine tuna akili za namna gani jamani? Akili za namna hii ndiyo akili za kwendea Sokoni tu!!!! Ujinga sana!
Mambo usiyoyajua ni afadhali ukakaa kimya kuficha ujinga wako.
 
Siyo vita tu hata kuongozwa na raia Feki nchi inauchwa kama ilivyo kwa Tanzania chini ya raia feki samia bushiri na genge lake la rostam azizi
Hako kajimama ni kanafiki sana,kanaficha hali ni mbaya sana,mtu hata mafungu hayatembei kwenye idara za serikali,sasa unaongoza nini kama bajeti imekushinda.
 
Back
Top Bottom