Tanzania tulipigania Uhuru ili tujitawale Kifikra na Kujitegemea au kumuondoa tu Mtawala mweupe?

Tanzania tulipigania Uhuru ili tujitawale Kifikra na Kujitegemea au kumuondoa tu Mtawala mweupe?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna wakati dhana nzima ya Nchi kuwa Huru inachanganya sana.

Hivi Watanzania tulidai Uhuru tukiwa na malengo gani hasa mahsusi.

Chukulia mfano wa Tundu Lisu na Lema hawa ni Viongozi wakubwa wa Chadema lakini familia zao zinaishi Marekani na Canada.

Hata CCM ina Watu wengi wa namna hiyo mfano Le mutuz japo aliamua kurejea nyumbani baadae

Mkuu Mohamed Said mlipomwalika Nyerere aje asaidie harakati zenu za kudai Uhuru lengo lenu lilikuwa ni nini hasa?

Nimekaa palee kujifunza

cc: Mohamed Said
 
Tungo'ke Jumuiya ya Madola.

Katiba itakuja Kirahisi.

Mbatizaji....All the Above.


Aluta Continua
 
Uhuru wa wahuni /kundi dogo wa watu wahuni kuwatawala wengine kwa manufaa yao na wanaowahusu
 
Uhuru ulipiganiwa na watoto wa mzizima kila siku mzee saidi anawaeleza ila mtu mmoja toka msoma baada kupewa rungu ndio leo ccm inatufanya tusiwe na fikra
 
Ili kujiendesha wenyew tu, nan alimuondoa beberu? Ile ni agreement tu!! That's why tupo chin ya utawala wao till now!!
 
Back
Top Bottom