Kama unavyojua mkuu, watanzania wengi hatupendi challenges . watu wanafikiria njia za mkato ambazo wanaushahidi tosha kuwa kuna watu zimewatoa ( Some people have become because of the shortcuts ways of becoming succesful).
Sababu kubwa ndiyo hapo juu, kama tutaacha kujibeba beba kila sehemu, lazima watu wataacha kuogopa challenges and they think, tutakuwa kama hao ndugu zetu lakini kama tutakuwa kila siku matamasha bila kufanya kazi kwa njia za haki basi ndio tutaendelea kuwa warumwa wa uchumi, wateja wa IT, wateja wa bidhaa za kichina, wateja wa maofisini nk.
Lakini hii inatokana na nini basi? 1)Mfumo mbovu na mazingira mabovu ya upatikanaji wa Elimu. Mtu anapata elimu kwa shida mno toka Primary schools hadi Vyuo vikuu hakuna hata siku moja utakuta mtu anauhuru wa kufikiria. 2) Kuelndelea kwa short cut kwa sababu vinaruhusika, utakuta mtu leo anaanza biashara baada ya miezi miwili kesha win, that is too much. 3) Hizi professional work hatuzithamini watanzania, tunakimbilia kuwapa wachina, kila kitu hadi tenda ya kufunga nyaya, kuchimba mifereji bila kujenga internal human capacity kwa ajili ya baadae (kukechapu)/takeover lakini 10% zinatuua.
4) Wataalamu wa ndani hatuaminiki, tunaendesha mikampuni kwa kujuana siyo kwa kujua kazi. watu wanapeana kazi, kwa hiyo utakuta mwenye kampuni keshazoea kupata kazi bila hata kuisotea/kuandika proposal yenye ushindani, mtu anafanya kazi kwa mazoea na wala si kwa utaalamu. Hapa naamanisha we are not updating ourselves to the current situation.