Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hakuna kosa hapo- tulitaifisha kibabe sasa tunalipa fidia pole pole nasi tukona mgodi wa madini tayari kwa kuchimba. Tungeutafuta huo mgodi tungetumia hela zaidi ya hizoMakosa ya mtawala wa awamu ya 5 yanazidi kudhihiri :
Awamu ya pili ya Dola za Marekani milioni 25 zilizopokelewa kutoka Tanzania
Kampuni ya Indiana Resources Ltd:
tarehe 29 Oktoba 2024
Awamu ya pili ya Dola za Marekani milioni 25 zilizopokelewa kutoka Tanzania
Indiana Resources Limited (ASX: IDA) (“Indiana” au “Kampuni”) inafuraha kuthibitisha kwamba dola za Marekani milioni 25 zimepokelewa na wawakilishi wa kisheria wa Wadai kutoka
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (“Tanzania”) kama awamu ya pili ya Mkataba wa Suluhu wa Dola za Marekani milioni 90 kama ilivyotangazwa kwa ASX tarehe 29 Julai 2024 [ASX: “Mkataba wa Suluhu wa Dola za Marekani milioni 90
na Tanzania”].
Kwa sasa Bodi inapanga malipo ya gawio kwa wanahisa mnamo Desemba 2024 na maelezo zaidi yatatolewa kwa wakati ufaao.
Wanahisa wanahimizwa kuhakikisha kwamba maelezo ya akaunti ya benki kwa umiliki wao yanarekodiwa kwa usahihi na Computershare ili malipo
yaweze kufanywa.
Awamu ya mwisho ya Dola za Marekani milioni 30 inastahili kulipwa mnamo au kabla ya tarehe 30 Machi 2025. Kiasi hicho kitakapopokelewa, Kampuni itatoa tangazo zaidi kuhusu usambazaji kwa wanahisa katika Q2 2025. Mgawanyo wa mwisho kati ya Wadai bado unajadiliwa ili Kampuni inajulikana kuthibitisha idadi ya mwisho inayotarajiwa kwa wakati huu.
mwisho:
Tangazo hili limeidhinishwa kutolewa sokoni na Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana
Resources Limited kwa mamlaka kutoka kwa Bodi ya Wakurugenzi
Wanatuchora tu🤔Hao hao wanaozitoa wanaenda kugawana na wazungu
Mkuu hakuna kosa hapo- tulitaifisha kibabe sasa tunalipa fidia pole pole nasi tukona mgodi wa madini tayari kwa kuchimba. Tungeutafuta huo mgodi tungetumia hela zaidi ya hizo
Halafu haohao wahindi ndiyo mnatwambia wanakuja kwaajili ya ppp, private partnership, ili waandelee kula vichwa eti inaitwa tuzoMakosa ya mtawala wa awamu ya 5 yanazidi kudhihiri :
Awamu ya pili ya Dola za Marekani milioni 25 zilizopokelewa kutoka Tanzania
Kampuni ya Indiana Resources Ltd:
tarehe 29 Oktoba 2024
Awamu ya pili ya Dola za Marekani milioni 25 zilizopokelewa kutoka Tanzania
Indiana Resources Limited (ASX: IDA) (“Indiana” au “Kampuni”) inafuraha kuthibitisha kwamba dola za Marekani milioni 25 zimepokelewa na wawakilishi wa kisheria wa Wadai kutoka
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (“Tanzania”) kama awamu ya pili ya Mkataba wa Suluhu wa Dola za Marekani milioni 90 kama ilivyotangazwa kwa ASX tarehe 29 Julai 2024 [ASX: “Mkataba wa Suluhu wa Dola za Marekani milioni 90
na Tanzania”].
Kwa sasa Bodi inapanga malipo ya gawio kwa wanahisa mnamo Desemba 2024 na maelezo zaidi yatatolewa kwa wakati ufaao.
Wanahisa wanahimizwa kuhakikisha kwamba maelezo ya akaunti ya benki kwa umiliki wao yanarekodiwa kwa usahihi na Computershare ili malipo
yaweze kufanywa.
Awamu ya mwisho ya Dola za Marekani milioni 30 inastahili kulipwa mnamo au kabla ya tarehe 30 Machi 2025. Kiasi hicho kitakapopokelewa, Kampuni itatoa tangazo zaidi kuhusu usambazaji kwa wanahisa katika Q2 2025. Mgawanyo wa mwisho kati ya Wadai bado unajadiliwa ili Kampuni inajulikana kuthibitisha idadi ya mwisho inayotarajiwa kwa wakati huu.
mwisho:
Tangazo hili limeidhinishwa kutolewa sokoni na Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana
Resources Limited kwa mamlaka kutoka kwa Bodi ya Wakurugenzi
Mkijua robo ya mambo yanayofanyika nchi hii ni balaaHalafu haohao wahindi ndiyo mnatwambia wanakuja kwaajiki ya ppp, private partnership
Anahusika kivipi kushindwa kwenu hiyo kesi?Ndio mambo ya shujaa mwendazake
MIGA at Etwege
Tumekwishaaa.......shida sio wahindi bali watawala wala rushwaHalafu haohao wahindi ndiyo mnatwambia wanakuja kwaajiki ya ppp, private partnership
Viongozi wajingaTumekwishaaa.......shida sio wahindi bali watawala wala rushwa
Hawa watu wanatia hasira sana.Ni hasara kubwa sana kuongozwa na watu wenye uwezo mdogo kuanzia amri jeshi na wasaidizi wake.mikataba ya kimangungo inaingiza hasara Nchi sababu ya uongozi legelege.
Haya tupe msingi wa kesi wewe unayejuaAnahusika kivipi kushindwa kwenu hiyo kesi?
Umewahi hata kusoma msingi wa mgogoro wa Indiana au unaropoka tu.
Indiana Resource walipewa leseni ya utafiti wa madini ya grafite huko Ruangwa Lindi. Wakafanikiwa kuthibitisha kuwepo kwa madini ya kutosha kuanzisha mgodi. Katikahatua hiyo wakaomba leseni ya kuzuia (rention Licence) ili watafute fedha waanze kuchimba. Serikali yetu ikafuta sheria iliyokuwa inaruhusu leseni ya kuzuia na ikawanyang'anya Indiana eneo bila fidia ya gharama za utafiti na kuthibitisha kuwepo kwa madini ya kutosha kuanzisha mgodi. Hii maana yake ni kutaifisha na kwa mjibu wa ustaraabu wa duniani hapa hakuna kutaifisha bila kulipa fidia.Haya tupe msingi wa kesi wewe unayejua