dir good beatus
Member
- Jun 26, 2015
- 55
- 62
Tanzania na nchi nyingi za Afrika, tumepata Uhuru au tumepata Urithi?
Nasema tumerithi, kwasababu hatujarudi katika njia nzetu kabla ya kutawaliwa. Tumeendelea na mifumo yote alioiweka mnyonyaji. Tumerithi kwanzia utamaduni hadi mifumo ya utawala.
Viongozi wetu wamekuwa wanyonyaji, kama mfumo waliourithi.
Pengine hata hatujarithi kitu, labda tunasimamia mifumo yao hao wanyonyaji. Siku tukiacha kwenda kama wao kwenye kila kitu ndipo tutakua huru.
Nasema tumerithi, kwasababu hatujarudi katika njia nzetu kabla ya kutawaliwa. Tumeendelea na mifumo yote alioiweka mnyonyaji. Tumerithi kwanzia utamaduni hadi mifumo ya utawala.
Viongozi wetu wamekuwa wanyonyaji, kama mfumo waliourithi.
Pengine hata hatujarithi kitu, labda tunasimamia mifumo yao hao wanyonyaji. Siku tukiacha kwenda kama wao kwenye kila kitu ndipo tutakua huru.