CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Hata kama wanachukua vya kule Mang'oea na kufanya repacking bado tu ni kwamba ni wana akili, mbona sisi tunashindwa kufanya hio packing? Wakenya wanauza vitu vingi sana kwetu na vingine huwa wanachukue kwetu wana repack na kutuuzia tena.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app