Nimeleta bandiko hili sababu toka juzi nimekuwa na survey kwenye mkoa wa Pwani kwa ajili ya uwekezaji ambao tumeamua kama familia ya mzee Mundele tuwekeze katika nchi yetu na tuonyeshe uzalendo katika sera ya Rais wetu mzalendo Dr. John Pombe Joseph Magufuli, lakini nilichokikuta kiukwel...