Hatuna, na ndio sababu viwanda vinakufa automatically.
Leo TBL wanaagiza malighagi ya bia (malt) kutoka nje, kiwanda chao cha moshi washakifunga.
Gharama za uzalishaji hasa shamban kwa Tz ni kubwa sana, kutokana na inputs bei juu sana.
Lazima kuwe na plantations za watu wanaozalisha kibiashara sio peasants wanaolima kwa hiari bila utaalam wala mitaji, pembejeo na ruzuku. Mh. Kaijage sio kwamba halijui hili ila kuna sheedaNaona hili jambo liko wazi kwa namna hii;huwezi kujenga viwanda na usijue nini unaenda kuzalisha au upatikanaji wake wa malighafi ni 0 au mdogo saana,.pengine unajua kiwanda kitakuwa cha kuzalisha nguo kwa mfano, je, upatikani wa malighafi za kutengeneza hizo nguo upo?mashamba yapo lakini hayazalishi au ya kizalisha hayakidhi mahitaji sasa bora kipi "kuwekeza kwenye kuzalisha malighafi" kwanza au "kuwekeza kwenye uzalishaji viwanda"?
Hata historia ya " industrial revolution " ukiisoma vzr utajua kilianza kipi kikafuata kipi.
Uko serious? Ngozi zetu ni rejectsChuma tunayo ya kutosha. Na chuma ndiyo mama wa mapinduzi ya viwanda. Ngozi tunazo za kutosha kuendesha viwanda vya viatu na bidhaa za ngozi. Kahawa ipo nyngi tu. Madini ya phosphate kwaajili ya viwanda vya mbolea yapo. Samaki kwaajili ya viwanda vya samaki wapo wa kumwaga. Malighafi zipo za kutosha.