#COVID19 Tanzania tunazidi kuwa "DONOR" country wa Corona nchini Uganda

#COVID19 Tanzania tunazidi kuwa "DONOR" country wa Corona nchini Uganda

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa watatu wa corona na kufanya idadi ya maambukizi ya jumla ua corona Uganda kufikia 88, wagonjwa wapya ni Dereva wa Lori MKenya na wa Burundi na wa tatu ni Mganda aliyeingia nchini humo akitokea Bukoba Tanzania, waliopona corona ni Watu 52 na hakuna kifo cha corona Uganda.
#MillardAyoUPDATES
 
Mbona donor country hapo tupo wengi...Halafu badili hiyo title mkuu
 
Hapa ninaamini hata hawa maraisi wanazidiana uwezo wa akili, kuna wengine ni Madull na wengine ni brights, kweli kwa EAC tunaweza kuwalinganisha sasa
Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa watatu wa corona na kufanya idadi ya maambukizi ya jumla ua corona Uganda kufikia 88, wagonjwa wapya ni Dereva wa Lori MKenya na wa Burundi na wa tatu ni Mganda aliyeingia nchini humo akitokea Bukoba Tanzania, waliopona corona ni Watu 52 na hakuna kifo cha corona Uganda.
#MillardAyoUPDATES

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom