Nashangaa sana tunajivunia watu ambao siyo wetu mpaka tunafikia kusema eti wamewakilisha taifa.
Kiukweli huko ni kujidanganya na kujipa sifa za kijinga kabisa. Inajulikana wazi kuwa asilimia kubwa ya hawa watu ni wacongo na wanazipenda nchi zao hamuwezi kuwanyanganya haki hoyo hata iweje kwa mana hiyo tunawachora tu mnaposema eti wanawawakilisha.
Ndo mana bareke Huwa anatekbea na bendera ya Kingo siyo Tanzania. Tanzania tuache ujinga huo wa kutegemea clubs tutengeneze vya kwetu.
Tunajishusha hadhi eti mpaka Rais anawaita ikulu wakati anajua siyo watanzania ni wakongo na wengineo. Sasa nchi zao zikiamia kuwatumia kama spies kule ikulu ili kiteka nchi vizuri. Jamani tuwe na akili.
Kiukweli huko ni kujidanganya na kujipa sifa za kijinga kabisa. Inajulikana wazi kuwa asilimia kubwa ya hawa watu ni wacongo na wanazipenda nchi zao hamuwezi kuwanyanganya haki hoyo hata iweje kwa mana hiyo tunawachora tu mnaposema eti wanawawakilisha.
Ndo mana bareke Huwa anatekbea na bendera ya Kingo siyo Tanzania. Tanzania tuache ujinga huo wa kutegemea clubs tutengeneze vya kwetu.
Tunajishusha hadhi eti mpaka Rais anawaita ikulu wakati anajua siyo watanzania ni wakongo na wengineo. Sasa nchi zao zikiamia kuwatumia kama spies kule ikulu ili kiteka nchi vizuri. Jamani tuwe na akili.