Kupunguza umasikini wa hali ya juu . Tanzania pamoja na South Africa tuombe kwa congo kuwa watawala rasmi wa sehemu hii ya mashariki mwa congo kwasababu congo peke yake wameshidwa. Tanzania tuna aminiwa na wa congo wa mashariki wana utamaduni wetu. Hatua hizi zipitishwe
1. Congo mashariki wapige kura kama wanaunga mkono congo mashariki kuwa sehemu maalumu ya Tanzania
2. Serikali ya congo ikubali
3. Jeshi la Tanzania ndiyo liwe jeshi kuu congo ya mashariki
4. South Africa iwe nchi shiriki
5. Tanzania kwa upande wake ipitishe katiba ya kidemokrasia kama ya South African. Hatuwezi kwenda na hii serikali ya makundi ya mafisadi
Wa congo wa mashariki wengi wataunga mkono
1. Congo mashariki wapige kura kama wanaunga mkono congo mashariki kuwa sehemu maalumu ya Tanzania
2. Serikali ya congo ikubali
3. Jeshi la Tanzania ndiyo liwe jeshi kuu congo ya mashariki
4. South Africa iwe nchi shiriki
5. Tanzania kwa upande wake ipitishe katiba ya kidemokrasia kama ya South African. Hatuwezi kwenda na hii serikali ya makundi ya mafisadi
Wa congo wa mashariki wengi wataunga mkono