Tanzania tusifanye Nchi yetu kuwa Kampuni kama Gachagua alivyouchambua Mkataba wa Kugawana share za uongozi Nchini mwake!

Tanzania tusifanye Nchi yetu kuwa Kampuni kama Gachagua alivyouchambua Mkataba wa Kugawana share za uongozi Nchini mwake!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake

Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa

Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania

Jirani zetu ni mbumbumbu sana

Mlale Unono 😀
 
Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake

Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa

Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania

Jirani zetu ni mbumbumbu sana

Mlale Unono 😀
kuna shareholder moja ambae ana shares kidogo sana, amedai eti atakamata boing ikienda kule kwa waawezeshaji wake wa ng'ambo..

hii unaizungumziaje kwa mfano 🐒
 
Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake

Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa

Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania

Jirani zetu ni mbumbumbu sana

Mlale Unono 😀
Hujaelewa kizungu mjinger wewe🤣
 
Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake

Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa

Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania

Jirani zetu ni mbumbumbu sana

Mlale Unono 😀
Huku vyeo vinatolewa kwa wazanzibar na waislam pekee huoni?
 
Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake

Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa

Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania

Jirani zetu ni mbumbumbu sana

Mlale Unono 😀
Hii power sharing agreement ni uyaunani kama ule wa siasa za majimbo
 
Tu
Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake

Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa

Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania

Jirani zetu ni mbumbumbu sana

Mlale Unono 😀
takapo iandika Katiba yetu mpya hatuwezi kuchukua yale ya kimbumbumbu bali tutachukua yale tutakayoona yatakuwa na manufaa kwa Nchi yetu !
Katiba mpya bora ni muhimu 🙌🙏
 
Back
Top Bottom