johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Leo kawachana Sana Ruto Mudavadi na LwetangulaMbona ameomba msamaha.
kuna shareholder moja ambae ana shares kidogo sana, amedai eti atakamata boing ikienda kule kwa waawezeshaji wake wa ng'ambo..Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π
WetangulaLeo kawachana Sana Ruto Mudavadi na Lwetangula
Tuletee mkataba kama alivyofanya Gachagua πkuna shareholder moja ambae ana shares kidogo sana, amedai eti atakamata boing ikienda kule kwa waawezeshaji wake wa ng'ambo..
hii unaizungumziaje kwa mfano π
Kweli huyu ni great sinker, siyo great thinker.andika vinzuri kama great sinker....!!!
Hujaelewa kizungu mjinger weweπ€£Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π
kwamba huwa ana kikatatasi cha kucheki share mfukoni mwake, mathalani Waturkana wakiomba kupelekewa maji au madawa ,Tuletee mkataba kama alivyofanya Gachagua π
πππHujaelewa kizungu mjinger weweπ€£
Huku vyeo vinatolewa kwa wazanzibar na waislam pekee huoni?Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π
Amekuwa tajiri ghafla toka 2021Mbona hata Tanzania ina share za watu kadhaa.
Ukwasi alionao Abdul unafikiri hata Makongoro anaufikia?
Hii power sharing agreement ni uyaunani kama ule wa siasa za majimboTunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π
Muongepe Mungu wewe kima ,hivi unaishi Tanzania ipi ? Misukule ya mzee Mbowe ni laana kwenye nchi yetuHuku vyeo vinatolewa kwa wazanzibar na waislam pekee huoni?
takapo iandika Katiba yetu mpya hatuwezi kuchukua yale ya kimbumbumbu bali tutachukua yale tutakayoona yatakuwa na manufaa kwa Nchi yetu !Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π