THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
TUKISEMA HAPA KUWA MAKAFIRI NCHI HII MNA CHUKI NA NI CHANZO CHA CHOKO CHOKO MNAKATAA...Huku vyeo vinatolewa kwa wazanzibar na waislam pekee huoni?
Kafir ni yule anayejiita muislamu huku akiwa hafuati mafundisho ya Mtume Muhammad SAWTUKISEMA HAPA KUWA MAKAFIRI NCHI HII MNA CHUKI NA NI CHANZO CHA CHOKO CHOKO MNAKATAA...
UNAJUA KABISA PAMOJA NA KUWA SAMIA NI MUISLAM LAKINI NAFASI NYINGI ZA UONGOZI SERIKALINI AMEWAJAZA NYINYI MAKAFIRI,THEN UNAKUJA NA LUGHA ZA CHUKI DHIDI YETU WAISLAM BILA SABABU YYTE ILE.
KWANINI MAKAFIRI MNABEBA SANA HIZI MIMBA ZA CHUKI??NA MIMBA HIZI MTAZAA LINI??
Hatuna unafuu wowote, kwao keki ya Taifa wanagawana kikabila sisi keki ya Taifa tunagawana kimatabaka, umezaliwa kwenye familia ipi, upo chama gani na uchawa.Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π
Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π
HayaKwani Tanzania hayafanyiki hivyo .... wewe utakuwa umelala usingizi wa tembe.
Mjenge utaratibu wa kuwakemea jamaa zenu,hizo lugha zao za chuki zinaonekana kuwa ni kawaida lakini mbegu wanayoipandikiza ni mbaya sana.Kafir ni yule anayejiita muislamu huku akiwa hafuati mafundisho ya Mtume Muhammad SAW
Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π
Hapo alikuwa ameshabugia visungura vyake anatiririka tu kama ananawa vile.Siri gani katoa? andika vinzuri kama great thinker....!!!
Hata wewe ni kafiri kwa mujibu wa Biblia Takatifu.TUKISEMA HAPA KUWA MAKAFIRI NCHI HII MNA CHUKI NA NI CHANZO CHA CHOKO CHOKO MNAKATAA...
UNAJUA KABISA PAMOJA NA KUWA SAMIA NI MUISLAM LAKINI NAFASI NYINGI ZA UONGOZI SERIKALINI AMEWAJAZA NYINYI MAKAFIRI,THEN UNAKUJA NA LUGHA ZA CHUKI DHIDI YETU WAISLAM BILA SABABU YYTE ILE.
KWANINI MAKAFIRI MNABEBA SANA HIZI MIMBA ZA CHUKI??NA MIMBA HIZI MTAZAA LINI??
WEWE KWELI NI MTITO MDOGO ...BOLA KENYA WAMEIFANYA SERIKALI KUWA KAMPUNI YA WAZAWA ...HAPA TANZANI SERIKALI IMESHA KUWA KAMPUNI.LA RAIA FEKI (WAGENI)Tunasifia Katiba ya Kenya ni Bora lakini kiukweli ina Ujanja Ujanja mwingi sana ndani yake
Watu wanagawana keki ya Taifa kwa ukabila na wanasainishana Mikataba kabisa
Gachagua Leo ametoa Siri Kubwa sana tena kishujaa kama Shujaa wa Tanzania
Jirani zetu ni mbumbumbu sana
Mlale Unono π