Tanzania tutacheza mechi za kimataifa ratiba hii

Tanzania tutacheza mechi za kimataifa ratiba hii

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
393
Reaction score
615
Ndg

Screenshot_20240319_053851_Chrome~2.jpg
Screenshot_20240319_054106_Chrome~2.jpg


Wacheji wetu walau wataoenekani duniani
 
Hii Tifutifu ilipaswa isiwachukue wachezaji wa Simba na Yanga ili wabaki kujiandaa na michuano ya msingi ya CAF CL kuliko kwenda kupoteza muda kwenye hayo mabonanza.
 
Hivi bulgaria ni timu kali duniani? Ni muda mrefu sijaisikia ikishiriki michuano ya kombe la dunia na uefa. Kuna timu ya san marino ingecheza na tanzania mechi ya kirafiki tuone nani ni mbabe
 
Back
Top Bottom